Pre GE2025 Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba: Serikali imeanza kuondoa makato ya miamala

Pre GE2025 Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba: Serikali imeanza kuondoa makato ya miamala

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akizungumza katika kumbukizi hiyo waziri wa fedha Dkt mwigulu nchemba amesema kwa sasa serikali imeanza kuchukua hatua ya kuondoa baadhi ya makato ya miamala unapolipia huduma kwa njia za dijitali ili kuwezesha watanzania wengi kufanya malipo ya kidijitali

"Sisi kama Serikali tunaendelea kuboresha huduma kwenye mifumo ya malipo hasahasa malipo yanapofanyika kidigitali. Tumefanya kwenye kujenga mifumo hiyo kama ambavyo Gavana ameielezea.Mfumo kama ule wa Tpis lengo lake ni kupunguza gharama za kufanya malipo kwa njia za mitandao"

 
Wakuu,

Akizungumza katika kumbukizi hiyo waziri wa fedha Dkt mwigulu nchemba amesema kwa sasa serikali imeanza kuchukua hatua ya kuondoa baadhi ya makato ya miamala unapolipia huduma kwa njia za dijitali ili kuwezesha watanzania wengi kufanya malipo ya kidijitali

"Sisi kama Serikali tunaendelea kuboresha huduma kwenye mifumo ya malipo hasahasa malipo yanapofanyika kidigitali. Tumefanya kwenye kujenga mifumo hiyo kama ambavyo Gavana ameielezea.Mfumo kama ule wa Tpis lengo lake ni kupunguza gharama za kufanya malipo kwa njia za mitandao"

Fiksi
 
Duuu wamepiga za kutosha na walisema ni kwaajiri ya barabara za mitaa lakini barabara bado ni mbovu na hata zilizojengwa zipo chini ya kiwango huku deni la taifa likiongezeka mara mbili ya lile awali
 
Toka walisema wataondoa,makato au kupunguza lini??? masisiem hayafai hata kidogo.mwana ccm alisema Sasa ni usiku Toka nje kaangalie maana uongo ndo mtaji ccm+Dola .
 
Wakuu,

Akizungumza katika kumbukizi hiyo waziri wa fedha Dkt mwigulu nchemba amesema kwa sasa serikali imeanza kuchukua hatua ya kuondoa baadhi ya makato ya miamala unapolipia huduma kwa njia za dijitali ili kuwezesha watanzania wengi kufanya malipo ya kidijitali

"Sisi kama Serikali tunaendelea kuboresha huduma kwenye mifumo ya malipo hasahasa malipo yanapofanyika kidigitali. Tumefanya kwenye kujenga mifumo hiyo kama ambavyo Gavana ameielezea.Mfumo kama ule wa Tpis lengo lake ni kupunguza gharama za kufanya malipo kwa njia za mitandao"


Wamechelewesha sana kufikiri hili jambo.Maana mobile transaction ndiyo kila kitu sasa.na pia kuna watu ambao inabidi waamue kutumia miamala ya chash kwa sababu transfer ni very expensive. Niliwahi kumtumia mtu sh 100,000.ghrama za kutuma na pamoja na za yeye kutoa ilikuwa sh11,000. wakati kama ninge chukua hii hela ATM nikamkabidhi kesh nisinge lipa zaidi ya sh 2000
 
Wamechelewesha sana kufikiri hili jambo.Maana mobile transaction ndiyo kila kitu sasa.na pia kuna watu ambao inabidi waamue kutumia miamala ya chash kwa sababu transfer ni very expensive. Niliwahi kumtumia mtu sh 100,000.ghrama za kutuma na pamoja na za yeye kutoa ilikuwa sh11,000. wakati kama ninge chukua hii hela ATM nikamkabidhi kesh nisinge lipa zaidi ya sh 2000
Umedanganya gharama za kutuma na kutoa
 
Ni rahisi sana kuwaongopea watanzania, wewe wape ‘leading statement’ hakuna sababu ya kutafuta facts, watafuata hiko hiko ulichoweka.

Video ipo juu hivi kasema wanafuta tozo au wanafikiria kwenye sera mpya namna ya kuvutia miamala ya digital njia moja wapo ionekane ni nafuu kuliko kufanya malipo ya cash.
 
Ni rahisi sana kuwaongopea watanzania, wewe wape ‘leading statement’ hakuna sababu ya kutafuta facts, watafuata hiko hiko ulichoweka.

Video ipo juu hivi kasema wanafuta tozo au wanafikiria kwenye sera mpya namna ya kuvutia miamala ya digital njia moja wapo ionekane ni nafuu kuliko kufanya malipo ya cash.
Mwigulu ni mtu wa hovyo kabisa
 
Huyu jamaa ni fisadi na mpumbavu kabisa.
Simpendi kwa sababu ni fisadi halafu anajifanya mzalendo.

Shenzi kabisa.
 
Back
Top Bottom