Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
-
- #21
Naona kama hujuma inatendeka hapaJana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala...
Kunae kaukweli fulani hiviJana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala....
Nimekosa Shekh!!Aisee..!!
Hili bunge nalo ni tatizo kubwa sana!!Msimlaumu mtu mmoja kwa sheria illyopitishwa na bunge
Hakuna cha PHD hapo ni UBABAISHAJI MTUPUKuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?
Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?...
Ukishakuwa CCM lazima Utolewe kitu hiki Kichwani.Kuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?
Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?...
Nimeanza kuelewa sasaUkishakuwa CCM lazima Utolewe kitu hiki KichwaniView attachment 1859537
Tuna kazi kubwa sanaWana PhD ya "Economics", shida ni kuitafsiri hiyo "economics" kuwa "uchumi", maana bongo kwa ground tunahangaika na "uchumi" na sio "economy" iliyopo kwenye nadharia na makaratasi[emoji1787][emoji1732][emoji205]
Nani alikuambia kuwa na elimu kubwa au kuongoza darasani ndo kipimo cha akili au mafanikio katika maisha.Elimu nyingi za Afrika ni mwendo wa kukariri, ukimaliza mitihani baada ya wiki ukiulizwa hakuna unachojua. Elimu ni fursa ya kupata ajira kwa nchi za Afrika na wala sio kingineKuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?
Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?....
Acheni uchonganishi...Mpeni mawazo chanya akiyakataa then mmuhukumu...Jana huyu waziri kakusanya wananchi jimboni kwake kwa kuwahonga 50,000/ na kutudharau Watanzania kwamba mbona misiba tuna changia lakini tunanshindwa kuchangia tozo za miamala.
Juzi juzi katuambia bajeti imesha piata haiwezi kurekebishwa.
Tulisema simu nyingi, Mwingulu ni muuaji, sijali ni uuaji gani, ila hafai kuwa waziri. Hamtakii mema Mh. Samia Rais wa nchi. Mwigulu ana furahia Mh. Samia kufeli ili nae uchaguzi ujao achukue fomu.
Wameamua kujitoa ufahamu, huwezi kumtofautisha Mwigulu Nchemba na kibajajiSasa ina maana hawakujua madhara yake?
Unawaonea bure mkuu, hivi ukishawahi kuona mwanasiasa mwenye akili angalau? Yaani kaa ukijua mtu hata awe Guru kwenye fani fulani akishaingia kwenye siasa akili nayo inahama kutoka kichwani kuingia tumboni... then what do u think?Kuna saa najiuliza shida ni elimu yetu mbovu au ni viongozi tulionao ndio wabovu?
Inakuaje PhD holder wa uchumi unashindwa kuelewa madhara ya haya makato kwenye uchumi wa nchi?
Makamu wa Rais ni PhD holder wa uchumi/fedha na Waziri wa Fedha ni PhD holder wa uchumi kutoka pale jalalani (nimemnukuu Kabudi).
Je, hawa wote wanashindwa mshauri Rais kweli?
Hivi na yule Mshauri wa Rais wa mambo ya uchumi yupo kweli?
Ccm huwa ni serikali sikivu sana yenye uchungu na wananchi wake nitoe rai kwa vyama pinzani hamwezi kamwe kuivuruga Amani ya hii nchi na msitucheleweshe kwenye maendeleo