Waziri wa Fedha & Uchumi wa Hamas (Abd al-Fattah al-Zari) Afariki kwa Shambulio la Ndege

Huyo imani ndio alikua mwalimu wa magaidi,bora amekufa akalombane kwenye danguro la ala.
 
Naunga mkono hoja
 
Kuua ni dhambi
 
Ndiyo. HAMAS Amekaa kwa muda mrefu mno na hao mateka. Wameteseka sana. Ni lazima iwepo fidia - haiwezekani uwashikilie watu muda wote huo halafu baadaye uwaachie na uondoke hiv-hivi. Hamnaga hiyo. Lazima ufinywe sana.
 
Nilitaka nikuite kumbe upo kwenye Uzi
Hizi picha unazitoa wapi lkn?
🤣🤣🤣🤣Duh mwanangu mbavu zangu zinauma Kwa kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…