Tetesi: Waziri wa Kilimo aliagiza hivi kama sharti la kunufaika na pembejeo?

Tetesi: Waziri wa Kilimo aliagiza hivi kama sharti la kunufaika na pembejeo?

Nduna shujaa

Senior Member
Joined
Aug 14, 2022
Posts
163
Reaction score
134
Baadhi ya wilaya wanaoenda kujiandikisha kupata kunufaika na pembejeo wanaambiwa wawe na laini ya Voda na wanatakiwa kupiga picha.

Mh wWaziri wa Kilimo tunaomba ufafanuzi upya kuhusu utaratibu tafadhali kuna watu wanajifanya miungu watu huku mtaani.
 
kama ni wilaya ina ccm wengi acha wapambane na hali zao.
 
Back
Top Bottom