daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Refer to the heading above
Waziri wa kilimo ndugu Husein Bashe, wakulima tunalia na bei ya mbolea.
UREA mwaka jana bei ilikuwa Tsh 50,000/- kwa kilo 50 sasa ni 110,000/-
DAP ni 120,000/-
Kuna uwezekano mkubwa kushuka kwa uzalishaji wa mazao hasa huku nyanda za juu kusini maana ardhi hii bila mbolea huvuni kitu
Waziri wa kilimo ndugu Husein Bashe, wakulima tunalia na bei ya mbolea.
UREA mwaka jana bei ilikuwa Tsh 50,000/- kwa kilo 50 sasa ni 110,000/-
DAP ni 120,000/-
Kuna uwezekano mkubwa kushuka kwa uzalishaji wa mazao hasa huku nyanda za juu kusini maana ardhi hii bila mbolea huvuni kitu