Waziri wa Kilimo haya mambo yameanza lini

Waziri wa Kilimo haya mambo yameanza lini

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Nimeweka risiti hapa uone kibaya zaidi jambo hili linatokea Nzega hapa ndio wakulima humkumbuka Magufuli yani gunia moja linatozwa ushuru kweli yani mkulima alime mazao yake ya kula yeye na famila yake anaenda kuvuna wanasubilia njiani atozwe ushuru.

 
Hahahhahha matokeo ya kuwapa wapumbavu madaraka na wao bila hiyana huwapa wajinga madaraka.
 
Twendeni na mama 2025
Inafikilisha sana yani gunia moja ushuru sasa unawaza haya ni maamuzi ya baraza la madiwani na mkurugenzi wao au nani sema waanainchi wa nzega wanatakiwa wambiwe uchaguzi wa serikali za mitaa wawaonyeshe rangi tofauti na kijani na njano watawaheshimu otherwise wataendelea chezewa zaidi ya hapa
 
Back
Top Bottom