Waziri wa Madini, Dotto Biteko tunasubiri tamko la Serikali kuhusu mauaji ya wachimbaji wadogo wadogo

Waziri wa Madini, Dotto Biteko tunasubiri tamko la Serikali kuhusu mauaji ya wachimbaji wadogo wadogo

Enzi na Enzi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
888
Reaction score
821
Kufuatia mauaji ya wachenjuaji wapatao wanne waliokatwa mapanga huko ntambalale kahama niwakati sasa wachimbaji wapewe hadhi yao katika kazi zao kwa kupewa ulinzi ktk maeneo yao yakazi.

Haiwezekani kila siku media zinawasifu wachimbaji wadogo kwa kuongeza mapato ya serikali lakini usalama wao uko mashakani siku zote.

Mchimbaji anachimba polini ambako hakuna ulinzi wowote wa police lakini napo akitaka kuchenjua anachenjulia polini kwa mujibu wa sheria za mazingira nahakuna ulinzi wowote.

Polisi wanalinda mitaa , vituo vya mafuta, mahoteli na makazi ya wananchi , nijambo zuri ila tunaomba vituo vya police maeneo yote ya uchenjuaji au zipangiwe walinzi wa police kama wanavyosambazwa kwenye mabenki.

Wachimbaji tunastahili kupewa ulinzi wa police bila kuchajiwa chochote kwa maana tunachangia pato kubwa sana ktk mfuko mkuu wa serikali.

Nawasilisha.

Enzi na Enzi.
 
Kufuatia mauaji ya wachenjuaji wapatao wanne waliokatwa mapanga huko ntambalale kahama niwakati sasa wachimbaji wapewe hadhi yao katika kazi zao kwa kupewa ulinzi ktk maeneo yao yakazi.

Haiwezekani kila siku media zinawasifu wachimbaji wadogo kwa kuongeza mapato ya serikali lakini usalama wao uko mashakani siku zote.

Mchimbaji anachimba polini ambako hakuna ulinzi wowote wa police lakini napo akitaka kuchenjua anachenjulia polini kwa mujibu wa sheria za mazingira nahakuna ulinzi wowote.

Polisi wanalinda mitaa , vituo vya mafuta, mahoteli na makazi ya wananchi , nijambo zuri ila tunaomba vituo vya police maeneo yote ya uchenjuaji au zipangiwe walinzi wa police kama wanavyosambazwa kwenye mabenki.

Wachimbaji tunastahili kupewa ulinzi wa police bila kuchajiwa chochote kwa maana tunachangia pato kubwa sana ktk mfuko mkuu wa serikali.

Nawasilisha.

Enzi na Enzi.
Hilo jambo ni juu yenu wenyewe. Kuna makampuni kibao ya ulinzi. Mnakaa nao na kuingia nao mkataba. Mnachanga na kuwalipa.
 
Hilo jambo ni juu yenu wenyewe. Kuna makampuni kibao ya ulinzi. Mnakaa nao na kuingia nao mkataba. Mnachanga na kuwalipa.

Makampuni ya ulinzi haya yanayoiba fedha za mabenki kila siku!!! Ha ha ha🤣🤣🤣 wewe jamaa!!!
 
Back
Top Bottom