RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kumbe kuchimba visima ni simple! Basi sawa.Mchimbage visima simple tu, mnajaza tank.
Kwetu tulishagang'oa mita yaani jua likiwaka maji hayatokei,mvua ikinyesha wanaachia maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuchimba visima ni simple! Basi sawa.Mchimbage visima simple tu, mnajaza tank.
Kwetu tulishagang'oa mita yaani jua likiwaka maji hayatokei,mvua ikinyesha wanaachia maji.
Kuna conflict kubwa huku mitaani kati ya viongozi wa ccm wa mitaani na raia,mfano kuna mitaa barabara zimeharibika vibaya sababu ya mvua hasa jimbo la kibamba na ubungo,tarura hawana mpango wa kurekebisha hizo barabara,baadhi ya maeneo wananchi wamejichangisha wenyewe ili tu wazibe hata mashimo kupunguza makali ya ubovu wa barabara,ccm hawataki wananchi wafanye hivyo,tena ukijitia kiherehere wanaona unataka kugombea uenyekiti wa serikali ya mtaa!Leo asb katika kipindi cha Station moja ya redio nilishuhudia wanachi wa saranga wakivutana na chama cha Mapinduzi ngazi za chini-nadhani kuna conflict hapo. Sasa wasitungize ssisi raia. Tunamuamini mama samia. Wamuache afsnye kazi. Tunaomba huduma ya maji baaasi
Kakatika mshipi was ubongo huyo🤣, hajui watu wame Panga.Kumbe kuchimba visima ni simple! Basi sawa.
Viongozi wa chini wa Chama Cha Mapinduzi ndio wamezuia maji kutoka au sijaelewa chanzo cha ugomvi huo mkuu?Leo asb katika kipindi cha Station moja ya redio nilishuhudia wanachi wa saranga wakivutana na chama cha Mapinduzi ngazi za chini-nadhani kuna conflict hapo. Sasa wasitungize ssisi raia. Tunamuamini mama samia. Wamuache afsnye kazi. Tunaomba huduma ya maji baaasi
Aisee ni Mtaa upi huo mkuuKuna conflict kubwa huku mitaani kati ya viongozi wa ccm wa mitaani na raia,mfano kuna mitaa barabara zimeharibika vibaya sababu ya mvua hasa jimbo la kibamba na ubungo,tarura hawana mpango wa kurekebisha hizo barabara,baadhi ya maeneo wananchi wamejichangisha wenyewe ili tu wazibe hata mashimo kupunguza makali ya ubovu wa barabara,ccm hawataki wananchi wafanye hivyo,tena ukijitia kiherehere wanaona unataka kugombea uenyekiti wa serikali ya mtaa!
Labda kwenu mnakoishi ni sio simple,Kumbe kuchimba visima ni simple! Basi sawa.
.Kakatika mshipi was ubongo huyo[emoji1787], hajui watu wame Panga.
[emoji117]aNa hisi kuchimba Kisima, ni Kama kunyoa nywele[emoji855]
Hongereni.Labda kwenu mnakoishi ni sio simple,
Kwetu ni simple.
Kwa nini mnaishi mashenzini huko?Mimi kama mama. Naomba waziri waa mbie waache visa vyao, wanapogombana wao kwa wao anayeumia ni mama. Wasichana wadogo wanabakwa, wakinamama tunadhalilika. Jamani tuoneeni huruma mpate uongofu wa Mungu.
Hawa watu waache kumtesa mwanamke. Imetosha baasi.
Haiwezekani nadamka asb kuchota maji, naagiza boda apeleke maji nyumbani kuna watoto akiwabaka?
Nahangaika jioni kusaka maji hiki ni kitu gani jamani
Kuna conflict kubwa huku mitaani kati ya viongozi wa ccm wa mitaani na raia,mfano kuna mitaa barabara zimeharibika vibaya sababu ya mvua hasa jimbo la kibamba na ubungo,tarura hawana mpango wa kurekebisha hizo barabara,baadhi ya maeneo wananchi wamejichangisha wenyewe ili tu wazibe hata mashimo kupunguza makali ya ubovu wa barabara,ccm hawataki wananchi wafanye hivyo,tena ukijitia kiherehere wanaona unataka kugombea uenyekiti wa serikali ya mtaa!
Tutamkumbuka JPM1. Hakuna maji
2. Hakuna umeme
3. Hakuna Sukari
4. Kiongozi Mkuu Yuko Norway!
Tumpe pongezi Rais Samia katika juhudi zake kuhakikisha mnapata maji bila vikwazo