Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
🤣🤣🤣🙌Naona ni kama anawalazimisha kuja hapo huwa wanakua hawana furaha hasa huyo mke mkubwa daah ananuna kama Simba dume...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🙌Naona ni kama anawalazimisha kuja hapo huwa wanakua hawana furaha hasa huyo mke mkubwa daah ananuna kama Simba dume...
Ila inaonekana hawana Raha. Mmoja nilisoma Nate alikuwa hajatuliaWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amelieleza Bunge kuwa anapowatazama wake zake roho yake inapata furaha ya kipekee jambo linalosababisha kufanya kazi zake kwa kujituma na kujitoa.
Kauli hiyo ameitoa bungeni leo Ijumaa Mei 10, 2024 wakati akianza kujibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2024 / 25.
Aweso amesema: “Mimi nimeona nijipe wawili ndio maana unaniona ninakiwalaza kwa namna ya kipekee, nishukuru sana familia yangu, wake zangu wapendwa kabisa namuona pale mke wangu mpendwa Kauthar Francis Tarimo lakini pia Zainab Abdallah Issa.”
“Mimi Mheshimiwa Spika (Dk Tulia Ackson) nikiwaona hawa roho yangu baridiii," amesema Aweso.
View attachment 2986835
(Picha, habari na Edwin Mjwahuzi)
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
Kumbe Alivunja Unyumba Wa Watu
Umewaza Nini??"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Amewauliza wake zake kama wanafuraha kuwa na yeye? Maana wanaonekana hawana furaha kabisa
Kama boss wao tu!Wengi ya mawaziri wa sasa ni ma-viazi. Hakuna kitu kichwani.
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dadeki hapo Tarimo anaangalia salio tu
Hata ongea yake anaonekanaHUYU NI WAZIRI MWIZI NA MSANII ANAYEDANGANYA WENGI KWA SANAA ZAKE
Na ile nyumba ndogo je?Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amelieleza Bunge kuwa anapowatazama wake zake roho yake inapata furaha ya kipekee jambo linalosababisha kufanya kazi zake kwa kujituma na kujitoa.
Kauli hiyo ameitoa bungeni leo Ijumaa Mei 10, 2024 wakati akianza kujibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2024 / 25.
Aweso amesema: “Mimi nimeona nijipe wawili ndio maana unaniona ninakiwalaza kwa namna ya kipekee, nishukuru sana familia yangu, wake zangu wapendwa kabisa namuona pale mke wangu mpendwa Kauthar Francis Tarimo lakini pia Zainab Abdallah Issa.”
“Mimi Mheshimiwa Spika (Dk Tulia Ackson) nikiwaona hawa roho yangu baridiii," amesema Aweso.
View attachment 2986835
(Picha, habari na Edwin Mjwahuzi)
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
Kodi zetu wanazogawana kwa urefu wa kamba zao zimemgeuza mchaga Kauthar Tarimo kuonekana kama katoka Oman.Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amelieleza Bunge kuwa anapowatazama wake zake roho yake inapata furaha ya kipekee jambo linalosababisha kufanya kazi zake kwa kujituma na kujitoa.
Kauli hiyo ameitoa bungeni leo Ijumaa Mei 10, 2024 wakati akianza kujibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2024 / 25.
Aweso amesema: “Mimi nimeona nijipe wawili ndio maana unaniona ninakiwalaza kwa namna ya kipekee, nishukuru sana familia yangu, wake zangu wapendwa kabisa namuona pale mke wangu mpendwa Kauthar Francis Tarimo lakini pia Zainab Abdallah Issa.”
“Mimi Mheshimiwa Spika (Dk Tulia Ackson) nikiwaona hawa roho yangu baridiii," amesema Aweso.
View attachment 2986835
(Picha, habari na Edwin Mjwahuzi)
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
Apo n hela inaongea aongeze wawe 4Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amelieleza Bunge kuwa anapowatazama wake zake roho yake inapata furaha ya kipekee jambo linalosababisha kufanya kazi zake kwa kujituma na kujitoa.
Kauli hiyo ameitoa bungeni leo Ijumaa Mei 10, 2024 wakati akianza kujibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2024 / 25.
Aweso amesema: “Mimi nimeona nijipe wawili ndio maana unaniona ninakiwalaza kwa namna ya kipekee, nishukuru sana familia yangu, wake zangu wapendwa kabisa namuona pale mke wangu mpendwa Kauthar Francis Tarimo lakini pia Zainab Abdallah Issa.”
“Mimi Mheshimiwa Spika (Dk Tulia Ackson) nikiwaona hawa roho yangu baridiii," amesema Aweso.
View attachment 2986835
(Picha, habari na Edwin Mjwahuzi)
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa