Waziri wa Maji Jumaa Aweso asema anapowatazama wake zake huwa anapata furaha ya kipekee!

Ila
Ila inaonekana hawana Raha. Mmoja nilisoma Nate alikuwa hajatulia
 
Ila cameraman hukuwaambia ata waseme peps ili picha zitoke wanetabasam,usiseme ulikua mbali
 
Safi sana huyu ndio mwanaume sio una michepuko alafu inajificha eti unajiona shababi ... Rijali anawapanga na kutembea nao kifua mbele ..
 
Na ile nyumba ndogo je?
 
Kodi zetu wanazogawana kwa urefu wa kamba zao zimemgeuza mchaga Kauthar Tarimo kuonekana kama katoka Oman.
 
Apo n hela inaongea aongeze wawe 4
 
Atakuwa anqchapiwa tu hiyo mishanhazi huwa ina wivi haipendi kupangiwa ratiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…