KERO Waziri wa Maji, Jumaa Aweso fika wilaya ya Chunya, kata ya Makongorosi, kijiji cha Itumbi, wananchi wanakunywa maji yenye sumu ya Mercury

KERO Waziri wa Maji, Jumaa Aweso fika wilaya ya Chunya, kata ya Makongorosi, kijiji cha Itumbi, wananchi wanakunywa maji yenye sumu ya Mercury

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hawana viongozi kwani huko?
Huko ni SAWA na hakuna uongozi.
Hakuna ofisi za serikali mfano:
Kituo cha polish hakuna
Shule ya sekondari hakuna
Barbara haikuwepo imetengeneswa juzi
Mochari hakuna. Kuna zahanati isiyo na dawa wa Daktari
 
Ujumbe huu, umfikie Mkuu wa mkoa wa Mbeya, DC Chunya, DeD chunya,.

Mh Jumaa aweso, ukifika Fanya ukaguzi wa neo Hilo, vifo ni vingi sana na hakuna mtu wa kukuambia Hali ya eneo Hilo.

Kijiji hicho kina zaidi ya watanzania 10,000 na huwezi kuamini hakunana maji na hakuna vyoo.

Watu wanajisaidia porini na hakuna maji safi na salama.

Timu ya mawaziri ifike Kijiji hicho wakiwemo, waziri wa afya, waziri wa elimu, waziri wa mazingira , waziri wa ujenzi na waziri wa madini.
Ajekuyasafisha ama waache wapungue banaa
 
Ujumbe huu, umfikie Mkuu wa mkoa wa Mbeya, DC Chunya, DeD chunya,.

Mh Jumaa aweso, ukifika Fanya ukaguzi wa neo Hilo, vifo ni vingi sana na hakuna mtu wa kukuambia Hali ya eneo Hilo.

Kijiji hicho kina zaidi ya watanzania 10,000 na huwezi kuamini hakunana maji na hakuna vyoo.

Watu wanajisaidia porini na hakuna maji safi na salama.

Timu ya mawaziri ifike Kijiji hicho wakiwemo, waziri wa afya, waziri wa elimu, waziri wa mazingira , waziri wa ujenzi na waziri wa madini.
Mkuu mbona unalikuza hili jambo dogo lionekane kama ni jambo kuuubwa?
Unamfikiaje waziri kabla hujaenda hata kwa Mtendaji kijiji? Unendaje kwa Waziri hata kabla hujaenda kwa DED au kwa Mkuu wako wa Mkoa? Mbunge wako hiyo ndo nafasi yake - vp haonekani kuwapambania?
Lakini hoja ya wanakijiji kunya porini inamhitaji waziri kweli?? :KEKBye: Unywaji wa maji yaliyochafuliwa kutoka kwenye mashimo ya dhahabu ni suala la kuelimishana tu mpendwa. Je, waziri akija ndo atashika fimbo/bakora kuwazuia? Inafikirisha.
 
Mkuu mbona unalikuza hili jambo dogo lionekane kama ni jambo kuuubwa?
Unamfikiaje waziri kabla hujaenda hata kwa Mtendaji kijiji? Unendaje kwa Waziri hata kabla hujaenda kwa DED au kwa Mkuu wako wa Mkoa? Mbunge wako hiyo ndo nafasi yake - vp haonekani kuwapambania?
Lakini hoja ya wanakijiji kunya porini inamhitaji waziri kweli?? :KEKBye: Unywaji wa maji yaliyochafuliwa kutoka kwenye mashimo ya dhahabu ni suala la kuelimishana tu mpendwa. Je, waziri akija ndo atashika fimbo/bakora kuwazuia? Inafikirisha.
Wanakunya machakani mlipuko wa magonjwa nje nje
 
Huko ni SAWA na hakuna uongozi.
Hakuna ofisi za serikali mfano:
Kituo cha polish hakuna
Shule ya sekondari hakuna
Barbara haikuwepo imetengeneswa juzi
Mochari hakuna. Kuna zahanati isiyo na dawa wa Daktari
Taja panaitwaje vizuri Kijiji gani, kitongojigani, mtaa gani, Kata gani, Wilaya gani na Mkoa gani ili kusudi wenye Ndugu zao waone namna ya kuwasaidia huko walipo
 
Wanakunya machakani mlipuko wa magonjwa nje nje
Inasikitisha sana ila wanafanya hivyo kwa hiari yao au mazingira ndo yanalazimisha iwe hivyo?
Wapewe tahadhari na waelimishwe madhara ya kujisaidia machakani i.e. Uhusiano uliopo kati ya magonjwa yanayowaandama na kitendo cha kunya machakani na pia unywaji wa maji machafu kutoka kwenye mashimo ya dhahabu na kwingineko bila kuzingatia tahadhari.
 
Taja panaitwaje vizuri Kijiji gani, kitongojigani, mtaa gani, Kata gani, Wilaya gani na Mkoa gani ili kusudi wenye Ndugu zao waone namna ya kuwasaidia huko walipo
Nakazia hoja.
 
Taja panaitwaje vizuri Kijiji gani, kitongojigani, mtaa gani, Kata gani, Wilaya gani na Mkoa gani ili kusudi wenye Ndugu zao waone namna ya kuwasaidia huko walipo
Kijiji cha itumbi, mji mdogo wa makongorosi,kata ya Matundasi, wilaya ya chunya,mkoa wa Mbeya ,nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom