peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
-
- #21
Huko ni SAWA na hakuna uongozi.Hawana viongozi kwani huko?
Sisi huku tunatawaza na majani tu.Choo bila Maji ulisikia Wapi?
Ameandika 10,000 yan elfu kumi mkuu. Labda kwako iwe ni reading error.
Ajekuyasafisha ama waache wapungue banaaUjumbe huu, umfikie Mkuu wa mkoa wa Mbeya, DC Chunya, DeD chunya,.
Mh Jumaa aweso, ukifika Fanya ukaguzi wa neo Hilo, vifo ni vingi sana na hakuna mtu wa kukuambia Hali ya eneo Hilo.
Kijiji hicho kina zaidi ya watanzania 10,000 na huwezi kuamini hakunana maji na hakuna vyoo.
Watu wanajisaidia porini na hakuna maji safi na salama.
Timu ya mawaziri ifike Kijiji hicho wakiwemo, waziri wa afya, waziri wa elimu, waziri wa mazingira , waziri wa ujenzi na waziri wa madini.
Huku kwetu umasaini ndani-ndani huku tunawashangaa mnatumiaje maji choroni??Choo bila Maji ulisikia Wapi?
Mmezoea kuchambia nini ngozi za Ng'ombe au Majani ya miti mikavu?Huku kwetu umasaini ndani-ndani huku tunawashangaa mnatumiaje maji choroni??
Mkuu mbona unalikuza hili jambo dogo lionekane kama ni jambo kuuubwa?Ujumbe huu, umfikie Mkuu wa mkoa wa Mbeya, DC Chunya, DeD chunya,.
Mh Jumaa aweso, ukifika Fanya ukaguzi wa neo Hilo, vifo ni vingi sana na hakuna mtu wa kukuambia Hali ya eneo Hilo.
Kijiji hicho kina zaidi ya watanzania 10,000 na huwezi kuamini hakunana maji na hakuna vyoo.
Watu wanajisaidia porini na hakuna maji safi na salama.
Timu ya mawaziri ifike Kijiji hicho wakiwemo, waziri wa afya, waziri wa elimu, waziri wa mazingira , waziri wa ujenzi na waziri wa madini.
Tawezeni na MIZIZI piaSisi huku tunatawaza na majani tu.
Wanakunya machakani mlipuko wa magonjwa nje njeMkuu mbona unalikuza hili jambo dogo lionekane kama ni jambo kuuubwa?
Unamfikiaje waziri kabla hujaenda hata kwa Mtendaji kijiji? Unendaje kwa Waziri hata kabla hujaenda kwa DED au kwa Mkuu wako wa Mkoa? Mbunge wako hiyo ndo nafasi yake - vp haonekani kuwapambania?
Lakini hoja ya wanakijiji kunya porini inamhitaji waziri kweli??Unywaji wa maji yaliyochafuliwa kutoka kwenye mashimo ya dhahabu ni suala la kuelimishana tu mpendwa. Je, waziri akija ndo atashika fimbo/bakora kuwazuia? Inafikirisha.
Tunatumia majani laini tu na mambo yanakuwa fresh. Ngozi za ng'ombe zinauzwa mkuu - huwezi kuchezea/kutupa pesa.Mmezoea kuchambia nini ngozi za Ng'ombe au Majani ya miti mikavu?
Taja panaitwaje vizuri Kijiji gani, kitongojigani, mtaa gani, Kata gani, Wilaya gani na Mkoa gani ili kusudi wenye Ndugu zao waone namna ya kuwasaidia huko walipoHuko ni SAWA na hakuna uongozi.
Hakuna ofisi za serikali mfano:
Kituo cha polish hakuna
Shule ya sekondari hakuna
Barbara haikuwepo imetengeneswa juzi
Mochari hakuna. Kuna zahanati isiyo na dawa wa Daktari
Majani laini ya miti gani hio upupu?Tunatumia majani laini tu na mambo yanakuwa fresh. Ngozi za ng'ombe zinauzwa mkuu - huwezi kuchezea/kutupa pesa.
Inasikitisha sana ila wanafanya hivyo kwa hiari yao au mazingira ndo yanalazimisha iwe hivyo?Wanakunya machakani mlipuko wa magonjwa nje nje
Ahahaha! Mkuu; unasema upupu? Ukijichanganya ukatumia upupu; mbona hata rubega hutavaa itakushinda?Majani laini ya miti gani hio upupu?
Nakazia hoja.Taja panaitwaje vizuri Kijiji gani, kitongojigani, mtaa gani, Kata gani, Wilaya gani na Mkoa gani ili kusudi wenye Ndugu zao waone namna ya kuwasaidia huko walipo
Ni mwendo wa majani laini na mchanga, unaburuza tu kinyeo chini kinakuwa swafi kabisa.Tawezeni na MIZIZI pia
Kijiji cha itumbi, mji mdogo wa makongorosi,kata ya Matundasi, wilaya ya chunya,mkoa wa Mbeya ,nchini Tanzania.Taja panaitwaje vizuri Kijiji gani, kitongojigani, mtaa gani, Kata gani, Wilaya gani na Mkoa gani ili kusudi wenye Ndugu zao waone namna ya kuwasaidia huko walipo