Waziri wa maliasili na utalii Njoo hapa

Waziri wa maliasili na utalii Njoo hapa

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Waziri wa maliasili na utalii kuna ujumbe wako hapa
457580DA-5D8B-409C-8CC0-8603B5BA2BE7.jpeg
 
Hizi bodaboda kwa sasa ndo janga kwenye kuteketeza miti, yaani boda anabeba mkaa size ya fuso?........shusheni bei ya gesi ili watu mijini wapunguze matumizi ya mkaa, badala ya kufanya show off za kupeleka mitungi vijijini....
 
Hizi bodaboda kwa sasa ndo janga kwenye kuteketeza mhatiti, yaani boda anabeba mkaa size ya fuso?........shusheni bei ya gesi ili watu mijini wapunguze matumizi ya mkaa, badala ya kufanya show off za kupeleka mitungi vijijini....
Mohani ilikuwa elfu 48 ikapanda mpaka 50 kwa 32kg sasa 56 na tunajua ges ya mohani inatoka Lindi au Mtwara. Mimi nimeshakutana na mapipa yakitokea huko. Gasi yetu inauzwa kama tunainunua nje? Whats next???
Kuhusu mkaa tusidanganyane, wengi wetu humu ni wateja wa wauza mikaa. Je, tufanyeje?
 
Mohani ilikuwa elfu 48 ikapanda mpaka 50 kwa 32kg sasa 56 na tunajua ges ya mohani inatoka Lindi au Mtwara. Mimi nimeshakutana na mapipa yakitokea huko. Gasi yetu inauzwa kama tunainunua nje? Whats next???
Kuhusu mkaa tusidanganyane, wengi wetu humu ni wateja wa wauza mikaa. Je, tufanyeje?
Kuna mkaa wa mpaka 1000/- mtaani. lkn gas haipo!!
 
Una uhakika hapa ni Tanzania mkuu?

Ingawa nasi hili tatizo linaendelea kukuwa nchini, ni watanzania wote tunatakiwa tubadilike ndipo vita hii ya uharibifu wa misitu tutaishinda.
 
Mi nadhani waziri wa nishati Makamba angefika Hapa[emoji4]
 
Back
Top Bottom