Waziri wa Mambo ya Ndani: Tukio la anayesemekana alitekwa (SATIVA) uchunguzi unaendelea

Waziri wa Mambo ya Ndani: Tukio la anayesemekana alitekwa (SATIVA) uchunguzi unaendelea

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa kushamiri…….

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kitabu kilichoandikwa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania,Dkt. Abubakari Zubeir kinachoitwa Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe,Waziri Masauni ametaja takribani kesi nane na hatua zilizochukuliwa na serikali juu ya matukio hayo ya utekaji ikiwemo tukio la mtoto Albino aliyetekwa na kukutwa ameuawa na kunyofolewa viungo vya mwili,tukio la hivi karibuni la Edgar Mwakabela anayejulikana zaidi kwa jina la Sativa.

============

20240701_232947.png

Gazeti la Mwananchi la Julai 2, 2024 likiwa na kichwa cha habari kikubwa kuhusu utekaji.
Pia soma ~ Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?
 
Mpaka wananchi wapaze sauti, ndiyo unajitokeza??

Ulikuwa wapi, tokea tukio hili linatokea, tarehe 23/6/2024??

Wewe unalazimika kuwajibika Kwa kujiudhuru nafasi yako, hakuna jambo jingine, ambalo wananchi wangependa ulichukue
 
Hata Utekaji wa Maboksi HALALI ya Kura na kutuwekea Maboksi yenye Kura za CCM ni uhalifu pia.
 
Mawakili,Jeshi la POLICE haliwezi pelekwa Mahakamani kama wahusika wa huo utekaji na bwana Sativa akawa Shahidi?
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa kushamiri…….

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kitabu kilichoandikwa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania,Dkt. Abubakari Zubeir kinachoitwa Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe,Waziri Masauni ametaja takribani kesi nane na hatua zilizochukuliwa na serikali juu ya matukio hayo ya utekaji ikiwemo tukio la mtoto Albino aliyetekwa na kukutwa ameuawa na kunyofolewa viungo vya mwili,tukio la hivi karibuni la Edgar Mwakabela anayejulikana zaidi kwa jina la Sativa.

============

View attachment 3032568
Gazeti la Mwananchi la Julai 2, 2024 likiwa na kichwa cha habari kikubwa kuhusu utekaji.
Swala la mtoto Alibino lina fanana na hayo mengine? huyu nae kwanza ni Waziri katika Taifa la Wajinga, huyu ndio waziri Kilaza kuwahi kumuona
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa kushamiri…….

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kitabu kilichoandikwa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania,Dkt. Abubakari Zubeir kinachoitwa Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe,Waziri Masauni ametaja takribani kesi nane na hatua zilizochukuliwa na serikali juu ya matukio hayo ya utekaji ikiwemo tukio la mtoto Albino aliyetekwa na kukutwa ameuawa na kunyofolewa viungo vya mwili,tukio la hivi karibuni la Edgar Mwakabela anayejulikana zaidi kwa jina la Sativa.

============

View attachment 3032568
Gazeti la Mwananchi la Julai 2, 2024 likiwa na kichwa cha habari kikubwa kuhusu utekaji.
Pia soma ~ Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?
kama kweli aliosema Allah amzidishie , lkn kama anayosema hayatoki moyoni mwa mmesmaje ajue sisi waislam tunaamini kila uliotenda hapa duniani hasa kwa tuliopewa dhamana basi tunajukumu kubwa na tutaijutia dhamana tulizopewa .
 
Kuna watu wataangushiwa jumba bovu 😄
au hawakawi kusema ugomvi wa mademu,mke wa mtu au mambo ya kudhulumiana ....nimewaza tu

ova
Walishasema huko X kuwa SATIVA alikuwa akiuza bangi maeneo ya UDSM.

wengine wakasema kuwa katembea na demu wa mtu...


Yetu ni macho tu. Mawakili wetu bado hawajahitimu
 
Walishasema huko X kuwa SATIVA alikuwa akiuza bangi maeneo ya UDSM.

wengine wakasema kuwa katembea na demu wa mtu...


Yetu ni macho tu. Mawakili wetu bado hawajahitimu
Kama ni kweli hizo tuhuma ulizotoa, ni kwanini basi asifikishwe mahakamani, Ili ushahidi utolewe, Ili ahukumiwe??

Sasa hao watu wasiojulikana, ndiyo wanajifanya kuwa wao ndiyo Prosecutors na Majaji Kwa wakati mmoja!😚
 
Wengine wanasema ile kazi yake ya kuuza odds za Betting eti alitapeli watu.
Walishasema huko X kuwa SATIVA alikuwa akiuza bangi maeneo ya UDSM.

wengine wakasema kuwa katembea na demu wa mtu...


Yetu ni macho tu. Mawakili wetu bado hawajahitimu
 
kama kweli aliosema Allah amzidishie , lkn kama anayosema hayatoki moyoni mwa mmesmaje ajue sisi waislam tunaamini kila uliotenda hapa duniani hasa kwa tuliopewa dhamana basi tunajukumu kubwa na tutaijutia dhamana tulizopewa .
What???
 
Walishasema huko X kuwa SATIVA alikuwa akiuza bangi maeneo ya UDSM.

wengine wakasema kuwa katembea na demu wa mtu...


Yetu ni macho tu. Mawakili wetu bado hawajahitimu
Kwa hiyo demu wa mtu ndio kawezesha watekaji waweze kutumia kituo cha polisi Osterbay kuteka na kutesa?
Hata wewe uliyeleta uvumi huu unastahili kupiwa utimamu wako!
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa kushamiri…….

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kitabu kilichoandikwa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania,Dkt. Abubakari Zubeir kinachoitwa Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe,Waziri Masauni ametaja takribani kesi nane na hatua zilizochukuliwa na serikali juu ya matukio hayo ya utekaji ikiwemo tukio la mtoto Albino aliyetekwa na kukutwa ameuawa na kunyofolewa viungo vya mwili,tukio la hivi karibuni la Edgar Mwakabela anayejulikana zaidi kwa jina la Sativa.

============

View attachment 3032568
Gazeti la Mwananchi la Julai 2, 2024 likiwa na kichwa cha habari kikubwa kuhusu utekaji.
Pia soma ~ Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?
Nani ana chunguza? Taarifa toka kwa muathirika ana sema ali pelekwa ostabai polisi. Sasa nani ana fanya uchunguzi?
Kapelekwa Arusha kwa mtoto halafu kwenda kumtupa Katavi. Blablaa tuu hizi
 
Mmmmm tukio zima linajulikana polisi walimteka.....wakawapa tiss.....majina yabajulikana hata boss police aliekwenda Oysterbay usiku jina linajuliksna......wasichezee akili za wa Tz.....
 
Mmmmm tukio zima linajulikana polisi walimteka.....wakawapa tiss.....majina yabajulikana hata boss police aliekwenda Oysterbay usiku jina linajuliksna......wasichezee akili za wa Tz.....
Kenya kule wanamsemo wanauita "system ya majambazi".
 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa kushamiri…….

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kitabu kilichoandikwa na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania,Dkt. Abubakari Zubeir kinachoitwa Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe,Waziri Masauni ametaja takribani kesi nane na hatua zilizochukuliwa na serikali juu ya matukio hayo ya utekaji ikiwemo tukio la mtoto Albino aliyetekwa na kukutwa ameuawa na kunyofolewa viungo vya mwili,tukio la hivi karibuni la Edgar Mwakabela anayejulikana zaidi kwa jina la Sativa.

============

View attachment 3032568
Gazeti la Mwananchi la Julai 2, 2024 likiwa na kichwa cha habari kikubwa kuhusu utekaji.
Pia soma ~ Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?
Awamo ya tano imechangia pakubwa kumfrastrate manji hadi kupelekea kifo?, Jiwe hakuwa binadamu kabisa, ni devil
 
Back
Top Bottom