Waziri wa Mambo ya Ndani: Tukio la anayesemekana alitekwa (SATIVA) uchunguzi unaendelea

Hapa kuna watu watasema ni Magufuli,huku wakisahau kuwa Magufuli aliisha jiondokea miaka 3,iliyopita, Maana enzi za Magufuli watu walidiliki kutafuta mizoga ya ng'ombe na kuipakia kwenye viroba na kuipiga picha, Ili kuonyesha Magufuli alikuwa katili sana.
 
Awamo ya tano imechangia pakubwa kumfrastrate manji hadi kupelekea kifo?, Jiwe hakuwa binadamu kabisa, ni devil
Manji alikuwa fisadi Papa (Reginald Mengi Voice)na Manji mwenyewe hakukanusha wakati anatajwa katika mafisadi 10 Papa waliokuwa wanaujumu nchi hii.
 
Sawa sio Jeshi hatukatai je uko karakana ya polisi alifikaje na baada ya hapo ivi ni mtu gani binafsi anaweza kumteka mtu kumpeleka kituoni then amzungushe arusha hadi katavi Tena mbugani we jiuzulu tu bhana tunashindwa kuelewa chombo cha kulinda raia na Mali zao halafu kinawaumiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…