Waziri wa Mambo ya Nje Marekani Marco Rubio adokeza Marekani kuacha kufadhili umoja wa kijeshi wa NATO

Waziri wa Mambo ya Nje Marekani Marco Rubio adokeza Marekani kuacha kufadhili umoja wa kijeshi wa NATO

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema hana wasiwasi kuhusu hatma ya NATO, akisisitiza kuwa muungano huo haupo hatarini.

Akizungumza katika mahojiano na Fox News, alisema nchi za Ulaya ni matajiri na zinapaswa kuwekeza zaidi katika usalama wao badala ya kutegemea Marekani.

Aliongeza kuwa ni jambo lisilo la haki na lisiloweza kuendelea kwa muda mrefu kwa Marekani kuendelea kugharamia usalama wa mataifa mengine.​



rubio.png


 
Kwa kweli Trump ni Jabari kabisa,watu watafute pesa vita vya Nini?rejea nyuma Ujerumani walikuwa na uchumi imara sana na wakaingia mkataba wa bomba la gesi kati yake na Urusi kwa sababu ya NATO mradi huo ukafa akaingizwa vitani bila kupenda,tusiwadhalau viongozi wetu kwa maamuzi mabovu hata hao wazungu tunaowaamini nao ni hovyo kabisa
 
Kwa kweli Trump ni Jabari kabisa,watu watafute pesa vita vya Nini?rejea nyuma Ujerumani walikuwa na uchumi imara sana na wakaingia mkataba wa bomba la gesi kati yake na Urusi kwa sababu ya NATO mradi huo ukafa akaingizwa vitani bila kupenda,tusiwadhalau viongozi wetu kwa maamuzi mabovu hata hao wazungu tunaowaamini nao ni hovyo kabisa
Mbaya wakwetu ni bora wangetumia tangu kwenye sanduku la kura uwezo wao na washauri wao kufanya mambo hata kama wangekosea ingewezekana kusamehe kuwa ni makosa ya kibinaadamu.Ila hapa wanapolea na kufuga chawa na kusahau wajibu na majukumu yao hapa hawastahili msamaha.
 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema hana wasiwasi kuhusu hatma ya NATO, akisisitiza kuwa muungano huo haupo hatarini.

Akizungumza katika mahojiano na Fox News, alisema nchi za Ulaya ni matajiri na zinapaswa kuwekeza zaidi katika usalama wao badala ya kutegemea Marekani.

Aliongeza kuwa ni jambo lisilo la haki na lisiloweza kuendelea kwa muda mrefu kwa Marekani kuendelea kugharamia usalama wa mataifa mengine.​


Trump siyo Marekani, na Marekani siyo Trump.

Trump yupo madarakani kwa muda wa miaka minne tu na baada ya hapo ataondoka na kisha Mtu mwingine atashika usukani.

Ndani ya Chama chake cha Republicans tayari kuna mpasuko, baadhi ya wenzake tayari wameanza kumtuhumu Trump kwamba anaharibu mahusiano mema dhidi ya Washirika wao muhimu sana katika ulimwengu huu.
 
Trump ni aina ya kiongozi ambaye tunamtaka Tanzania, apewe uraia na uraisi ASAP
Binafsi sikuweza ku-imagine kwamba Marekani ingepata Rais kama Trump.Tulipigwa madongo JF tuliposema Trump aliibiwa kura ila ndiye Rais alali wa Wamarekani.

Sijui yale makarai ya zege ya CIA chini ya mwavuli wa USAID JF yapo wapi,mbona hatuyasikii?Pambafu kabisa, kiboko yao ni Trump.Waende sasa vijijini kwao wakawasaidie wazazi wao kazi za shamba,lakini na jua hili,mm,sijui kama mtatoboa.
 
Trump siyo Marekani, na Marekani siyo Trump.

Trump yupo madarakani kwa muda wa miaka minne tu na baada ya hapo ataondoka na kisha Mtu mwingine atashika usukani.

Ndani ya Chama chake cha Republicans tayari kuna mpasuko, baadhi ya wenzake tayari wameanza kumtuhumu Trump kwamba anaharibu mahusiano mema dhidi ya Washirika wao muhimu sana katika ulimwengu huu.
This is all "tala lila and wishful thinking." The truth is you are screwed up.
 
Trump siyo Marekani, na Marekani siyo Trump.

Trump yupo madarakani kwa muda wa miaka minne tu na baada ya hapo ataondoka na kisha Mtu mwingine atashika usukani.

Ndani ya Chama chake cha Republicans tayari kuna mpasuko, baadhi ya wenzake tayari wameanza kumtuhumu Trump kwamba anaharibu mahusiano mema dhidi ya Washirika wao muhimu sana katika ulimwengu huu.
Wavivu wakitabzania ndiyo tunaoombea mpasuko ndani ya republican kwakuwa naelekea kutuumbua na uvivu wetu.
 
Wavivu wakitabzania ndiyo tunaoombea mpasuko ndani ya republican kwakuwa naelekea kutuumbua na uvivu wetu.
Sidhani kama upo sahihi.

Leo Tazama kwenye mitandao kuhusiana na reactions za Watu wa Marekani juu ya mustakabali wa nchi yao baada ya mahojiano yaliyofanyika juzi Kati ya Rais wa nchi hiyo Bw. Donald Trump na Rais wa Ukraine Bw. Zelensky. Wananchi wengi zaidi wa Marekani wameanza kuwa wasiwasi mkubwa sana dhidi ya mienendo ya Rais wao, ukisoma maoni yao mitandaoni hata ukisikiliza video clips zao za maoni yao utabaini jambo hili.
 
Heko heko heko Donard Trup kwa maamuzi yako kwani kuna baadhi ya nchi kama poland eti nayo ilikuwa inaitemea russia mkwala kuwa inaweza kuipiga urusi kumbe ilikuwa inaringia jeshi la nato ambalo marekani ndie mfadhili mkuu sasa usa itakapoacha kuifadhili nato nadhani nchi nyingi za nato zitaanza kujiharishia kwa kuigopa kile URUSI inachoza kuwafanyia hususan nchi ya poland.
 
Back
Top Bottom