Waziri wa Marekani yamkumba ya vishindo vya wakoma, Hezbollah wakifanya yao Tell Aviv!

Waziri wa Marekani yamkumba ya vishindo vya wakoma, Hezbollah wakifanya yao Tell Aviv!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Haya yamewakuta waziri Blinken na ujumbe wake walipokuwa Israel:

IMG_20241024_071030.jpg


Ataamini huyu kuwa Nasrallah, Haniyeh au Sinwar ni marehemu?


View: https://m.youtube.com/watch?v=sG0ss7AfVvM

Ama kweli vishindo vya wakoma viliwakimbiza washami!
 
Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji

Anayepiga nyumbani kwa bi nyau tokea Lebanon, hana shabaha?

Anayepiga kwenye kambi nyeti ya komando wakila, wakatimka na kuacha msosi hana shabaha?

Anayelenga wanajeshi Hana shabaha?

IMG_20241024_065528.jpg


Au shabaha kwako ni kupiga, raia, watoto, wanawake, miji, maghorofa na hospitali?
 
Kwahyo lengo ni kuharibu tu nyumba ya netanyahu au netanyahu ndio alikuwa target? Mkubali tu hamna shabaha apo

Kwanza niondoe humo, kama ambavyo sijakuunganisha popote kwenye kadhia hii Israel, wewe kutokea Goba huko.

Hilo kwisha sema sasa jiulize, kwani umemsikia bi nyau, Israel au hata Marekani akiwa na shaka na shabaha zao?

Fanya hivyo ukizingatia Israel inashikilia watuhumiwa wa kutoa taarifa sahihi za maeneo ya kulengwa.

Kwamba kwa vishindo vya wakoma, atambue siyo siri: "yuko uchi," unadhani haitoshi?
 
Una uhakika wanakosa kosa?
Anayekupa taarifa za kulenga Target za Tel Aviv ni nani?
Na nani anatoa taarifa za Hezbollah kukosa kosa?
Unamkua anaye control Media house unazozijua?

Kuna mijamaa inaumia na lolote dhidi ya mwisiraeli kuliko waisiraeli wenyewe.

Ajabu na kweli mijamaa hiyo iko huku makwetu Goba!
 
Una uhakika wanakosa kosa?
Anayekupa taarifa za kulenga Target za Tel Aviv ni nani?
Na nani anatoa taarifa za Hezbollah kukosa kosa?
Unamkua anaye control Media house unazozijua?
Sijaelewa hata ulichokiandika rudia upya
 
sasa hao ni kikundi tu cha upatu wanakukosa kosa hivyo imagine hiyo attack ndo angefanya russia si tungekuwa tunazungumza kilio USA nzima!!!
Hezbollah ni kikundi cha kigaidi hatari zaidi duniani usiseme kikundi cha upatu, kwahyo huko front line wanatumia manati ama!
 
Anayepiga nyumbani kwa bi nyau tokea Lebanon, hana shabaha?

Anayepiga kwenye kambi nyeti ya komando wakila, wakatimka na kuacha msosi hana shabaha?

Anayelenga wanajeshi Hana shabaha?

View attachment 3133890

Au shabaha kwako ni kupiga, raia, watoto, wanawake, miji, maghorofa na hospitali?
Kwaiyo nikuulize, wewe kupitia hiyo vita ya huko mashariki umefaidika na nini zaidi ya ufala?
 
Back
Top Bottom