Waziri wa Marekani yamkumba ya vishindo vya wakoma, Hezbollah wakifanya yao Tell Aviv!

Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji

Anayepiga nyumbani kwa bi nyau tokea Lebanon, hana shabaha?

Anayepiga kwenye kambi nyeti ya komando wakila, wakatimka na kuacha msosi hana shabaha?

Anayelenga wanajeshi Hana shabaha?



Au shabaha kwako ni kupiga, raia, watoto, wanawake, miji, maghorofa na hospitali?
 
Kwahyo lengo ni kuharibu tu nyumba ya netanyahu au netanyahu ndio alikuwa target? Mkubali tu hamna shabaha apo

Kwanza niondoe humo, kama ambavyo sijakuunganisha popote kwenye kadhia hii Israel, wewe kutokea Goba huko.

Hilo kwisha sema sasa jiulize, kwani umemsikia bi nyau, Israel au hata Marekani akiwa na shaka na shabaha zao?

Fanya hivyo ukizingatia Israel inashikilia watuhumiwa wa kutoa taarifa sahihi za maeneo ya kulengwa.

Kwamba kwa vishindo vya wakoma, atambue siyo siri: "yuko uchi," unadhani haitoshi?
 
Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji
sasa hao ni kikundi tu cha upatu wanakukosa kosa hivyo imagine hiyo attack ndo angefanya russia si tungekuwa tunazungumza kilio USA nzima!!!
 
Una uhakika wanakosa kosa?
Anayekupa taarifa za kulenga Target za Tel Aviv ni nani?
Na nani anatoa taarifa za Hezbollah kukosa kosa?
Unamkua anaye control Media house unazozijua?

Kuna mijamaa inaumia na lolote dhidi ya mwisiraeli kuliko waisiraeli wenyewe.

Ajabu na kweli mijamaa hiyo iko huku makwetu Goba!
 
Sasa kama mtu anapiga kombora huko lebanon huku anaangalia shimo lake la kukimbilia kuna la maana hapo Yahudi akirusha ujue mtaokota meno na vilemba tu

Kwani sisi letu moja zuri kabisa unadhani lina accuracy gani?
 
Una uhakika wanakosa kosa?
Anayekupa taarifa za kulenga Target za Tel Aviv ni nani?
Na nani anatoa taarifa za Hezbollah kukosa kosa?
Unamkua anaye control Media house unazozijua?
Sijaelewa hata ulichokiandika rudia upya
 
sasa hao ni kikundi tu cha upatu wanakukosa kosa hivyo imagine hiyo attack ndo angefanya russia si tungekuwa tunazungumza kilio USA nzima!!!
Hezbollah ni kikundi cha kigaidi hatari zaidi duniani usiseme kikundi cha upatu, kwahyo huko front line wanatumia manati ama!
 
Kwaiyo nikuulize, wewe kupitia hiyo vita ya huko mashariki umefaidika na nini zaidi ya ufala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…