Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji
Kwahyo lengo ni kuharibu tu nyumba ya netanyahu au netanyahu ndio alikuwa target? Mkubali tu hamna shabaha apo
Kwahyo lengo ni kuharibu tu nyumba ya netanyahu au netanyahu ndio alikuwa target? Mkubali tu hamna shabaha
sasa hao ni kikundi tu cha upatu wanakukosa kosa hivyo imagine hiyo attack ndo angefanya russia si tungekuwa tunazungumza kilio USA nzima!!!Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji
Una uhakika wanakosa kosa?Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji
Kobazi wanajifyatulia tu bora liende
Una uhakika wanakosa kosa?
Anayekupa taarifa za kulenga Target za Tel Aviv ni nani?
Na nani anatoa taarifa za Hezbollah kukosa kosa?
Unamkua anaye control Media house unazozijua?
Sasa kama mtu anapiga kombora huko lebanon huku anaangalia shimo lake la kukimbilia kuna la maana hapo Yahudi akirusha ujue mtaokota meno na vilemba tu
sasa hao ni kikundi tu cha upatu wanakukosa kosa hivyo imagine hiyo attack ndo angefanya russia si tungekuwa tunazungumza kilio USA nzima!!!
Ni jambo la muda tuu, hutaona rocket hata moja.Hao kwa kukosa kosa wanaweza sanaa na ndio wanachojua ila target hawana, mwenzao Israel ikitarget kiongozi anaenda na maji
Sijaelewa hata ulichokiandika rudia upyaUna uhakika wanakosa kosa?
Anayekupa taarifa za kulenga Target za Tel Aviv ni nani?
Na nani anatoa taarifa za Hezbollah kukosa kosa?
Unamkua anaye control Media house unazozijua?
Hezbollah ni kikundi cha kigaidi hatari zaidi duniani usiseme kikundi cha upatu, kwahyo huko front line wanatumia manati ama!sasa hao ni kikundi tu cha upatu wanakukosa kosa hivyo imagine hiyo attack ndo angefanya russia si tungekuwa tunazungumza kilio USA nzima!!!
Ni jambo la muda tuu, hutaona rocket hata moja.
Hezbollah ni kikundi cha kigaidi hatari zaidi duniani usiseme kikundi cha upatu, kwahyo huko front line wanatumia manati ama!
Kwaiyo nikuulize, wewe kupitia hiyo vita ya huko mashariki umefaidika na nini zaidi ya ufala?Anayepiga nyumbani kwa bi nyau tokea Lebanon, hana shabaha?
Anayepiga kwenye kambi nyeti ya komando wakila, wakatimka na kuacha msosi hana shabaha?
Anayelenga wanajeshi Hana shabaha?
View attachment 3133890
Au shabaha kwako ni kupiga, raia, watoto, wanawake, miji, maghorofa na hospitali?
Sijaelewa hata ulichokiandika rudia upya