Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili kufikiria, upo nje ya mpira afu unajikuta unajua!! Unadhani mpira ni makelele na midomo, waheshimu sana GSMBiashara United imekosa kweli kusaidiwa kwenda Libya?Huyu waziri kazi yake nini?
Hivi waziri wa michezo ni nan! sijawah msikia hata akitoa mchango, idea au hata hamasa kwenye michezo, hivi kwanini watu wanaojua michezo na wenye uchungu na wanaojua vizuri udhaifu katika michezo ya nchi hii kama akina TARIMBA hawapewagi hii wizara!Sema hii nchi ya kingese sana, yaani Wizara husika ya michezo TFF walishindwa kuwafanyia mchakato wa kusafiri mapema hawa biashara united
Nilikuwa nasikilizia uchambuzi Azam sahizi ,ukweli ni kwamba viongozi wa Biashara ni wazembe ,ratiba ya CAF imetangazwa kuanzia June halafu Biashara hawana hata mda wa kupitisha bakuli au kuandaa harambe?Biashara hadi Sasa hawazungumzii ukata ,mara ya kwanza walisema passports zilichelewa ,Mara hii kibali cha ndege kutua Sudan then libya wamekosa ,Biashara wanaenda kutafuta ndege ijumaa mechi jumamosi . Ni uzembe mkubwaSema hii nchi ya kingese sana, yaani Wizara husika ya michezo TFF walishindwa kuwafanyia mchakato wa kusafiri mapema hawa biashara united
Ndio hapo hata mimi nashangaa, hizi wizara za michezo kuna watu wenye exposure kubwa ya michezo ktk hii nchi na wapo bungeni bila kutumiwaHivi waziri wa michezo ni nan! sijawah msikia hata akitoa mchango, idea au hata hamasa kwenye michezo, hivi kwanini watu wanaojua michezo na wenye uchungu na wanaojua vizuri udhaifu katika michezo ya nchi hii kama akina TARIMBA hawapewagi hii wizara!
TFF wanajua hii timu ni mpya ktk mashindano haya, bila kuwafuatilia vizuri hawawezi kutoboa, hili ni jukumu la shirikisho kujua mienendo ya timu zote zinazoshiriki hukoNilikuwa nasikilizia uchambuzi Azam sahizi ,ukweli ni kwamba viongozi wa Biashara ni wazembe ,ratiba ya CAF imetangazwa kuanzia June halafu Biashara hawana hata mda wa kupitisha bakuli au kuandaa harambe?Biashara hadi Sasa hawazungumzii ukata ,mara ya kwanza walisema passports zilichelewa ,Mara hii kibali cha ndege kutua Sudan then libya wamekosa ,Biashara wanaenda kutafuta ndege ijumaa mechi jumamosi . Ni uzembe mkubwa
Yeah upo sahihi ,hapa TFF ilipaswa kuwakumbusha mapema kuhusu vibali ,gharama na kuwasimamia ,maana kama TFF wanasema wasilaumie je wajibu wa TFF nini kwenye haya mashindanoTFF wanajua hii timu ni mpya ktk mashindano haya, bila kuwafuatilia vizuri hawawezi kutoboa, hili ni jukumu la shirikisho kujua mienendo ya timu zote zinazoshiriki huko
Hii ni collective mistake kwa Biashara wenyewe, TFF na wizara husika
Mpaka dakika hii huyu waziri, karia na wenzake wasingekua ofisini. Lkn nchi ya kijinga hii wataendelea kua ofisini na hata kupandishwa cheo. Aibu ilioje kwa taifa.Yeah upo sahihi ,hapa TFF ilipaswa kuwakumbusha mapema kuhusu vibali ,gharama na kuwasimamia ,maana kama TFF wanasema wasilaumie je wajibu wa TFF nini kwenye haya mashindano
Yanga walitumia nguvu kubwa kujiandaa na bonanza la tamasha halafu wakashindwa kutumia nguvu kubwa kujiandaa na mechi za CAF.TFF walitumia nguvu nyingi kumtafutia uraia Kibu Denis na kushindwa kutumia nguvu hiyohiyo kwa biashara united
Out of contextYanga walitumia nguvu kubwa kujiandaa na bonanza la tamasha halafu wakashindwa kutumia nguvu kubwa kujiandaa na mechi za CAF.
Angekuwa mstaarabu, angejiuzuru!Ndio hapo hata mimi nashangaa, hizi wizara za michezo kuna watu wenye exposure kubwa ya michezo ktk hii nchi na wapo bungeni bila kutumiwa
Mm naamini huyo Abbas Tarimba angeweza kutoa mchango Mkubwa sana michezo
Kwanza huyo waziri wa michezo ni nani?