Waziri wa sheria na katiba harakisha mswada wa bodi ya mawakili haraka sana Bungeni

Hiyo assignment kawape watoto/wanafunzi wako..hapa ni jf.
 
Hiyo assignment kawape watoto/wanafunzi wako..hapa ni jf.
Najua masaa yote ulikuwa unagoole, na umeshindwa kuleta jibu.
Kwa kukushauri tu, penda kusoma vitabu. A good lawyer is made from libraries, and you can't make a good lawyer out of library. In-short you can't be a lawyer without a library.
Na hiyo haikuwa assigment. Nilitaka nijue kama umeiva katika elimu yako ya sheria. Being a good lawyer usingeshindwa kutatua hilo. Pole.
 
Nawe ni mbunge au?. Ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee acha zako. Mimi ni mwanasheria tena kwa level ya PhD. Kajifiche kwenye zizi la panya na ka LLB kako uchwara.
Inawezekana lakini tunajua pia zipo phd za kichina kama za wasanii wetu akina profesa J na marehemu Dr. Lemmy kwa hiyo hatutishiki na PhD yako tunaangalia utoacho mdomoni mwako kina ladha ipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwanasheria wa CDM,Mbunge, Raisi wa TLS nk. Uroho huu wa madaraka ni elements za dikteta halisi.
Wee acha zako. Mimi ni mwanasheria tena kwa level ya PhD. Kajifiche kwenye zizi la panya na ka LLB kako uchwara.
Hiyo PHD zenu hazina msaada kwa nchi yetu zaidi ya kuwa msaada kwa matumbo yenu pumbavu zenu
 

Naona Lissu kawapiga sana,kwa Mtanzania mwenye kuipenda nchi yake,hatakufikiria huo upuuzi uliouandika asingefanya.Lakini kwa vile unaandika kwa sababu unategemea kulipwa endelea tu
 
wenzako tumepikwa Law School of Tz na akina prof.Majamba(legal drafting),Edward Chuwa (commercial), Taisamo(probate,civil) nk. Na tukatoboa. Wewe je? Lione.

Mngepikwa Law school usingeushabikia upuuzi wa CCM,sema umepikwa kiCCM,unadhani hao wapinzani siyo watanzania ,watanzania ni CCM tu??

Kama ulisoma basi ulijifunza kusoma na kuandika haujaelimika
 
Lisu Tundu ni dikteta halisi.
Nimeshangaa jana anasema hao polisi waje humu ndani wamkamate rais wa TLS akiwa kazini, yaani upuuzi alioufanya na kuongea kama mwanachadema anataka urais wake wa TLS umlinde??
Hovyo sana huyu jamaa!!
 
Wee acha zako. Mimi ni mwanasheria tena kwa level ya PhD. Kajifiche kwenye zizi la panya na ka LLB kako uchwara.
OMG! Awamu ya pii hechi dii za vilaza kweli sijawahi ona. Hii yako si ya vilaza tu,bali ni ya pichu pia. Kuandika hujui,kweli umeona milango ya darasa?

Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
 

Mkuu Dragon nakuheshimu sana.
 
Huna akili wewe,lkn imeandikwa wanafiki wote mwisho wao nikuburuzwa wakiwa hai katika lami nyeusi na yenye moto,unafanya unafiki uonekane eti nawewe unaiunga mkono serikali yenye kutokomeza haki na demokrasia
 
Hii ndio taabu ya sie ya watu weusi!!! Kuona karibu mnoooo.Mtu mmoja ambaye hapo alipo si ajabu halali mpaka kwa dawa na anayeweza kuondoka au kubadilika wakati wowote anasumbua mpaka watu wanataka kumtungia sheria!!!
Ubunge bado maika miwili na ushee,U raisi wa xxxxxxx ni wa muda tu,tulieni na mpambane na changamoto anazoleta naamini kuna ya faida yachukueni ili tujenge nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…