Justice minister
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,173
- 823
Soma Id yake huenda ni yule naibu wa kule mjengoni Dom.Najua masaa yote ulikuwa unagoole, na umeshindwa kuleta jibu.
Kwa kukushauri tu, penda kusoma vitabu. A good lawyer is made from libraries, and you can't make a good lawyer out of library. In-short you can't be a lawyer without a library.
Na hiyo haikuwa assigment. Nilitaka nijue kama umeiva katika elimu yako ya sheria. Being a good lawyer usingeshindwa kutatua hilo. Pole.
Mimi binafsi naona sii vizuri kufanya maamuzi makubwa ya kubadili sheria kisa MTU mmoja tu ambaye ataondoka na atakuja mwingine,unataka hivyo leo kwakuwa siyo wewe ni raisi wa mawakili lakini keshokutwa naweza kuwa mimi au wewe je utafanyeje?mada yako hayako kitaifa zaidi yako kichama zaidiMswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.
Nilishafanya hiyo kwa walimu wangu. Who are you to me that I should do what you like to. Utanilipa nini? For what? Eti unataka kunipima! Ili iweje?Najua masaa yote ulikuwa unagoole, na umeshindwa kuleta jibu.
Kwa kukushauri tu, penda kusoma vitabu. A good lawyer is made from libraries, and you can't make a good lawyer out of library. In-short you can't be a lawyer without a library.
Na hiyo haikuwa assigment. Nilitaka nijue kama umeiva katika elimu yako ya sheria. Being a good lawyer usingeshindwa kutatua hilo. Pole.
Ni upuuzi mkubwa kuendelea kuamini kuwa kila WAKILI/MWANASHERIA lazima awe mwanachama wa CDM. Chama ambacho hakina hata ajenda ya kufuga samaki. It is a bogus party.Mngepikwa Law school usingeushabikia upuuzi wa CCM,sema umepikwa kiCCM,unadhani hao wapinzani siyo watanzania ,watanzania ni CCM tu??
Kama ulisoma basi ulijifunza kusoma na kuandika haujaelimika
Lengo..Mswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.
Lisu wenu lazima aisome namba. Nchiil hii ina Raisi moja. Moja tu, JPM. Wengine wote ni maraisi fake.Lengo..
Dharura..
Unaonekana kama uliyepandwa na kichaa hivi.
Punguani wahedi!
Punguza jazba..Lisu wenu lazima aisome namba. Nchiil hii ina Raisi moja. Moja tu, JPM. Wengine wote ni maraisi fake.
Good. Lissu ni DIKTETA HALISI, anayejificha kwenye banda la TLS yetu. Lazima Law itumike kuifuta TLS haraka sana under certificate of urgency. No way, we can let such a senseless and uncouth guy to lead the noble profession. It is a curse to this great nation.Kweli Rais Wa T L S Ni Dicteta Uchwara Anayeibukia Anataka Kuwa Mtawala Wa Tls Hadi Kifo.Ameweka Nafasi Zote Za Tls Ndugu Zake Nawapambe Wake.
Ni upuuzi mkubwa kuendelea kuamini kuwa kila WAKILI/MWANASHERIA lazima awe mwanachama wa CDM. Chama ambacho hakina hata ajenda ya kufuga samaki. It is a bogus party.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Aisee! Kweli umethibitisha hapa wewe ni PhD
Pumbavu hana Dawa(PhD).
Good. Lissu ni DIKTETA HALISI, anayejificha kwenye banda la TLS yetu. Lazima Law itumike kuifuta TLS haraka sana under certificate of urgency. No way, we can let such a senseless and uncouth guy to lead the noble profession. It is a curse to this great nation.
Lisu wenu lazima aisome namba. Nchiil hii ina Raisi moja. Moja tu, JPM. Wengine wote ni maraisi fake.
Nilishafanya hiyo kwa walimu wangu. Who are you to me that I should do what you like to. Utanilipa nini? For what? Eti unataka kunipima! Ili iweje?
Mimi binafsi naona sii vizuri kufanya maamuzi makubwa ya kubadili sheria kisa MTU mmoja tu ambaye ataondoka na atakuja mwingine,unataka hivyo leo kwakuwa siyo wewe ni raisi wa mawakili lakini keshokutwa naweza kuwa mimi au wewe je utafanyeje?mada yako hayako kitaifa zaidi yako kichama zaidi
Sheria ya TLS lazima ife. TLS ibaki kama NGO ambayo wanajiunga kwa HIARI. I hate TLS. Let it die as soon as practicable.Mwanasheria gani uchwara ...Phd gani wewe unaefikiria kubadili sheria kwa sababu ya mtu mmoja? Lisu ameshinda kwa kupigiwa kura na majority ya mawakili...Hata kama ww humtaki au haukumpigia kura lkn hauwezi kulazimisha kubadili sheria kwa sababu yy alishinda.
Isitoshe urais wenyewe ni wa mwaka mmoja tu.
Kwahiyo muda wake ukiisha utaandika tena TLS irudi?
Shame on you!!!
Sent using Jamii Forums mobile app