Waziri wa sheria na katiba harakisha mswada wa bodi ya mawakili haraka sana Bungeni

Hata mtoe povu ninyi wanasheria fake, lazima TLS ifutwe. Imepitwa na wakati. Ipo kilazima mno. The right to freedom of association as is provided in Article 20 of CURT(1977) is not reflected in the TLS, an insritution created by a colonial law. Ninyi ni wanasheria gani msioona tatizo hilo la statute kugongana na katiba? In any such inconsistency, th provision of the constitution must prevail. Ipso facto, TLS Act must be repealed and replaced. Cogito ego sum.
 
wenzako tumepikwa Law School of Tz na akina prof.Majamba(legal drafting),Edward Chuwa (commercial), Taisamo(probate,civil) nk. Na tukatoboa. Wewe je? Lione.
Wewe ulikaririshwa wala hukuelewa. Unacheti bila taaluma.
 
Na baada ya hapo ukaguzi ufanywe alizopiga huyu vuvuzela zikaguliwe afungwe jela amepiga sana
 

Mkuu nimejitaidi kufanya assignment ila sio ngumu ki hvo kama jamaa alishindwa kweli basi kilaza......by James Keeler QC and Tony Pursall nahisi kitabu chao ndo waliandika hii kitu ipo page ya 44 sijui nao kama waliiquote kitabu Drafting Cayman Islands Trusts
 
lazima UKUKU muungane kumsaidia Sizonje maana sasa ni dhahri TL is too heavy to him. Yaani mkimwachia Sizonje man-to-man dhidi ya TL wapambane freely uashindi kwa TL ni saa 11 alfajiri. Sizonje ni mwepesi saaaana kumbe yaani hata kina Rungwe hawawezi bla msaada ya vyombo vyote vya dola na wapambe kama nyie
 
Wee acha zako. Mimi ni mwanasheria tena kwa level ya PhD. Kajifiche kwenye zizi la panya na ka LLB kako uchwara.
Sasa kuwa na PHD yako ya uchwara kama dkt wako ndio ikufanye uje uandike upuuzi hapa jukwaani kisa siasa? Mpuuzi wewe jaribu kupambana na hali yako hii haitokusaidia na PHD yako feki kama M/kiti wako.Lakini pia nina mashaka na hawa wanaojiita PHD holders juu ya upeo wao wa mambo mbalimbali.
 
Lisu Tundu ni dikteta halisi.
Yaani muswada uharakishwe kwa ajili ya Lisu, yaani tatizo la nchi hii sasa limegeuka kuwa Lisu bafala ya rushwa, uzembe, uwajibikaji, na ufisadi! This is too low na hawatamuweza.

Vv
 
Nilishafanya hiyo kwa walimu wangu. Who are you to me that I should do what you like to. Utanilipa nini? For what? Eti unataka kunipima! Ili iweje?
Haya sasa, naona majibu ya wadau umeyapata, hakuna support hata moja umepata. JF sio ya vilaza kama unavyofikiri, labda uje na mladi wa kuchunga ng'ombe utapata wa kukuunga mkono
 
Haya sasa, naona majibu ya wadau umeyapata, hakuna support hata moja umepata. JF sio ya vilaza kama unavyofikiri, labda uje na mladi wa kuchunga ng'ombe utapata wa kukuunga mkono
Ninyi wanasheria miaka yote mlipaza sauti kuwa TLS ina michango mingi,ipo kilazima, ifutwe. Leo inaelekea kufutwa tena mnaitetea ibaki. No consistency of your reasoning. You don't know what your are defending. I am of the view that TLS law should be repealed and replaced. It is a colonial law.
Only reasonable persons, fair minded and informed persons shall support me.
 
Lisu wenu lazima aisome namba. Nchiil hii ina Raisi moja. Moja tu, JPM. Wengine wote ni maraisi fake.

Halafu huyo Lissu ana nini cha zaidi ya kusema ukweli? Maneno ni JPM bwana. Sishangai hali mnayokutana nayo kwani ukweli ni kitu kinachoumiza sana.
 
Ni mwanasheria wa CDM,Mbunge, Raisi wa TLS nk. Uroho huu wa madaraka ni elements za dikteta halisi.

Mwenyekiti wa chama cha siasa na rais wa nchi ... hiyo imekaaje mkuu?

Kaka ...
 
Hapa povu tu!! Lisu wenu ataisoma namba.
 
Ok. Michango katika TLS ipo kikanuni, na hakuna mwanasheria analazimishwa kuwa member wa TLS. TLS imeweka utaratibu kuwa kika practising lawyer Tz awe member wake, je, kuna mtu kalazimishwe kupractise sheria Tz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…