Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteMhemshimiwa Waziri pole na majukumu.
Foleni ya kurudi nyumbani haiitii hasara serikali...Mhemshimiwa Waziri pole na majukumu.Tunakuomba kituo tajwa hapo juu kimekuwa chanzo kikuu cha foleni nyakati za husika haswa usiku kunakosababishwa na malory yanayojaza mafuta kituoni hapo.
Gharama za foleni unazijua wewe?Unaomba wew na nani?
Unajua wanalipa kodi kiasi gani?
Unajua imeajiri waTZ wangap?
Yani mtu akiwa mfanya biashara hata kama anasababisha kero kwa watu wengi akisemwa ni wivu, akili za wapi hizi?Kuna ka wivu tu kwa wafanyabiashara ......hqkuna lolote
Pambana na hali yako waambie tanroad watanue bara bara mwenye kituo hana kosa....Yani mtu akiwa mfanya biashara hata kama anasababisha kero kwa watu wengi akisemwa ni wivu, akili za wapi hizi?
Yule mangi atoe 10b labda kama kituo kimechukuliwa na mtu mwingineYule kamhonga kiongozi mkuu billion 10 unadhani atatolewa.Kwanza kajenga ndani ya Barbara lakini Wala hakuna wasiwasi