GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Unawaambia Wageni ( Watalii ) kuwa waje Watembelee Kilimanjaro na Zanzibar halafu Wewe Mwenyewe unatuaibisha Watanzania wote kwa Kukung'utwa na Wanaijeria Kwako Tanzania na hata Kwao nchini Nigeria.
Mkitaka mpambwe kwa Kucheza Jangwani Mafuriko Zizi la Ng'ombe League ndipo mfurahi na mumpongeze? Jitahidini nanyi Kushiriki Michuano ya Kimataifa CAFCL na CAFCC muone kama kwa Kikosi chenu hicho cha Kubebwa hovyo na Marefa mtaweza na ni rahisi tu kama Kumzawacia Mchezaji wenu Ng'ombe waliokondeana na wenye Utapia Mlo na Kiriba Tumbo.
Mkitaka mpambwe kwa Kucheza Jangwani Mafuriko Zizi la Ng'ombe League ndipo mfurahi na mumpongeze? Jitahidini nanyi Kushiriki Michuano ya Kimataifa CAFCL na CAFCC muone kama kwa Kikosi chenu hicho cha Kubebwa hovyo na Marefa mtaweza na ni rahisi tu kama Kumzawacia Mchezaji wenu Ng'ombe waliokondeana na wenye Utapia Mlo na Kiriba Tumbo.