Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Hizi mbwembwe za awamu ya sita zipo kasi sana, anyway, yetu macho na masikio.
===
"Watumishi wote waliosimamishwa kazi na mashauri yao yamechukua muda mrefu waandike barua kwa Katibu Mkuu Utumishi na aniletee nakala kwa ajili ya kufuatilia"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa"
"Kama nikisikia kama kuna mtumishi hajapandishwa daraja, nitamuondoa Afisa Utumishi huyo mara moja. Kama nikisikia kama kuna mtumishi hajapandishwa daraja wakati anastaili, nitamuondoa Afisa Utumishi huyo aliyemkwamisha mara mara moja. Haiwezekani mtumishi anaajiriwa leo, umempita miaka minne mnapokea mshahara sawa, haiwezekani. Serikali haitaki mtumishi wa umma aonewe, stahiki zenu ni haki yenu hampaswi kuziomba"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa
"Nikipita katika sehemu zangu za kazi, nikikuta kero za watumishi, watumishi wanaandika barua hajibiwi miezi sita. Aliyekuwa katika mamlaka yangu nitatengua nafasi yake. Aliye nje nitaomba mamlaka ya uteuzi wamtengue. Watumishi wa umma mjipange, wizara hii sasa imepata kijana. Bahati mbaya sijui nzuri nilikuwa hakimu, ninapenda haki. Tuwasikilize wananchi wanaofika katika ofisi zetu.
Nikikuta wamesimama wanasubiri kusikilizwa na anayepaswa kusikiliza hayupo, nitamsikiliza Mimi"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa
"Watumishi wote waliosimamishwa kazi na mashauri yao yamechukua muda mrefu waandike barua kwa Katibu Mkuu Utumishi na aniletee nakala kwa ajili ya kufuatilia"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa.
===
"Watumishi wote waliosimamishwa kazi na mashauri yao yamechukua muda mrefu waandike barua kwa Katibu Mkuu Utumishi na aniletee nakala kwa ajili ya kufuatilia"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa"
"Kama nikisikia kama kuna mtumishi hajapandishwa daraja, nitamuondoa Afisa Utumishi huyo mara moja. Kama nikisikia kama kuna mtumishi hajapandishwa daraja wakati anastaili, nitamuondoa Afisa Utumishi huyo aliyemkwamisha mara mara moja. Haiwezekani mtumishi anaajiriwa leo, umempita miaka minne mnapokea mshahara sawa, haiwezekani. Serikali haitaki mtumishi wa umma aonewe, stahiki zenu ni haki yenu hampaswi kuziomba"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa
"Nikipita katika sehemu zangu za kazi, nikikuta kero za watumishi, watumishi wanaandika barua hajibiwi miezi sita. Aliyekuwa katika mamlaka yangu nitatengua nafasi yake. Aliye nje nitaomba mamlaka ya uteuzi wamtengue. Watumishi wa umma mjipange, wizara hii sasa imepata kijana. Bahati mbaya sijui nzuri nilikuwa hakimu, ninapenda haki. Tuwasikilize wananchi wanaofika katika ofisi zetu.
Nikikuta wamesimama wanasubiri kusikilizwa na anayepaswa kusikiliza hayupo, nitamsikiliza Mimi"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa
"Watumishi wote waliosimamishwa kazi na mashauri yao yamechukua muda mrefu waandike barua kwa Katibu Mkuu Utumishi na aniletee nakala kwa ajili ya kufuatilia"Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa.