Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Ameshafagia sana pale hospitali ya Sinza PalestinaUjumbe wa familia Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba...
Dhambi zetu ndizo zilizaa mauti, tulikiuka maagizo ya Mungu.Amevipiga vita mwendo amaeumaliza....apumzike kwa amani najiulizaga maksudi ya Mungu kutuleta duniani afu anaturudisha ardhini anatutenganisha na wapendwa wetu jamani yalikuwa ni yapi[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Wewe ni mzee sana duh hongera rip BasilMwana-Umbwe mwenzangu enzi hizo.
RIP
Kwahiyo kwasababu aliwahi Kuhukumiwa akiwa na Yona ndiyo maana huyu hakutakiwa Kuiga rasmi dunia akitokea Kwa Mzena Makumbusho kama wengineo kadhaa?Kuna taarifa kuwa waziri wa zamani wa fedha Basil Pesambili Mramba amefariki leo asubuhi katika hospitali ya Regency.
Ngoja nifuatilie zaidi!
Mkuu, kwa sisi tunaye endelea KUMUENZI 'MWENDAZAKE' ungetutafsiria! Hatujaambua kitu hapo!Ujumbe wa familia Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered. Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy. We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage. The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen. Godfrey B. Mramba.
Nilikuwa na Hasira nae sana Marehemu Mramba hasa kwa Kauli yake alipokuwa Waziri wa Fedha kipindi cha Hayati Rais Mkapa aliyomwambia aliyekuwa Rais wa IMF wakati huo kuwa Watanzania wakiongezewa Mishahara wataishia tu Kulewa na Kuongeza Wanawake hivyo bora tu wawe na Mishahara yao hii hii ya Kawaida.Ujumbe wa familia Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered. Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy. We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage. The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen. Godfrey B. Mramba.
Kwa huo umri wake wa 81yrs hamna haja kuuliza kilicho muuaNi Covid inahusika au ni magonjwa mengine?
Nakumbuka huyu ndie aliesema hata watanzania wakila nyasi ni lazima ndege ya Raisi inunuliwe...
Oooh !! Poleni sana. Ni msiba mkubwa .Ujumbe wa familia Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered...