Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwanini tunapenda kukumbuka mambo ya hivi? Mtu ameishi miaka 81. Si haba amemaliza mwendo wake salama. Hayo mengine ya nini? Wewe ulikula hizo nyasi? Tuwe wanadamu.Ni Covid inahusika au ni magonjwa mengine?
Nakumbuka huyu ndie aliesema hata watanzania wakila nyasi ni lazima ndege ya Raisi inunuliwe...
huku sio kwetu tumekuja field tu, huko ardhini napo sio kwetu itafika siku tutatoka tena na hapo tutakutana na wapendwa wetu wote kuanzia babu wa kwanza mpaka mjukuu wa mwisho....tatizo siku hiyo tutakimbiana tena badala ya kukutana kwa furaha..Amevipiga vita mwendo amaeumaliza. Apumzike kwa amani najiulizaga maksudi ya Mungu kutuleta duniani afu anaturudisha ardhini anatutenganisha na wapendwa wetu jamani yalikuwa ni yapi😢😢😢😢😢
Amejipunguzia siku za kuishi kwa kukubali chanjoKwa huo umri wake wa 81yrs hamna haja kuuliza kilicho muua
Poleni familia ....... lakini huyu mzee kwa ktulisha nyasi mhhhhh!Dah! Jamaa alisababishaga wenge tukasomea uhasibu.
so SAD, hakika duniani tunapita.View attachment 1895289
Basil Pesambili Mramba
Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered.
Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy.
We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage.
The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen.
Godfrey B. Mramba.
View attachment 1895304
Amevipiga vita mwendo amaeumaliza. Apumzike kwa amani najiulizaga maksudi ya Mungu kutuleta duniani afu anaturudisha ardhini anatutenganisha na wapendwa wetu jamani yalikuwa ni yapi😢😢😢😢😢
Hongera zake kwa kula nyasi baada ya kujidai na ndege ya rais kwa hii miaka yote, atukuzwe mungu kwa maana alimjalia jeuri na kibri ya madarakaView attachment 1895289
Basil Pesambili Mramba
Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered.
Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy.
We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage.
The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen.
Godfrey B. Mramba.
View attachment 1895304