TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

Ile ndege yake ya kula nyasi hatuioni tena ikichana mawingu/anga. Ingeuzwa basi angalau tupate maji kushushia nyasi tulizo kula.

Tanzania tungekuwa na waandishi wa habari za kichunguzi wanaojielewa tungeshajua kwamba huyu alifikwa na umauti baada ya kusaini ile hati ya kujitoa muhanga au la? Hata hivyo media nayo ni kirusi kingine.

Maisha ya mwanadamu ni miaka 70 akiwa na nguvu 80 baada ya hapo ni mahangaiko.

Poleni wote, pumzika kwa amani rafiki na mwenza wa Mkapa.
 
Ni Covid inahusika au ni magonjwa mengine?

Nakumbuka huyu ndie aliesema hata watanzania wakila nyasi ni lazima ndege ya Raisi inunuliwe.

Leo hii yeye na aliekuwa boss wake(Mzee Mkapa) wote hawapo.

Tuna mengi ya kujifunza katika hii dunia.

Poleni wafiwa.
Lakini wamekula mema ya nchi Hadi uzee, hakuna hasara hapo.
 
APUMZIKE KWA AMANI, TULINUSURIKA KIDOGO KULA NYASI
GRACE THE LORD.jpg
 
Habari za kifo zinamkuta SSH kwenye ziara nyingine nje ya nchi. 🤔
 
We beautifully remember "kula nyasi"we will never forget that
Yes he was right and correct many Tanzanians are not productive the solution fir them is to continue eating grass for the nation to prosper and develop.

He was one of the best finance our country hs ever had.

Rest in peace Mwamba
 
Back
Top Bottom