TANZIA Waziri wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, William Kusila (78) amefariki Dunia leo Agosti 21, 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Waziri wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, William Kusila (78) amefariki dunia leo Jumapili Agosti 21, 2022 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dar es Salaam.

Chanzo: Tanzania Editors Forum (TEF)
 
Sio mbaya amakula chumvi japo angesogea kama mzee Mwinyi.
 
Waziri wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, William Kusila (78) amefariki dunia leo Jumapili Agosti 21, 2022 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dar es Salaam.

Chanzo: Tanzania Editors Forum (TEF)
Ndiye alikuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi kipindi meli ya MV Bukoba ilipozama katika Ziwa Victoria Aprili, 1996
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…