Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Meja Jenerali Cyrille Ndayirukiye alihukumiwa kifungo cha maisha jela Januari 2016 kwa kuhusika jaribio la kuipindua Serikali ya Mwendazake Piere Nkurunziza.
Jaribio hilo lililoshindwa lilifanyika Mei 16,2015 wakati Mwendazake Piere Nkrunziza akihudhuria Kikao cha Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Dar es Salaam.
Majenerali wengine waliohusika na jaribio hilo la mapinduzi na ambao walihukumiwa kifungo cha maisha ni Zenon Ndabaneze, Nimenya Hermenegilde na Juvenal Niyungeko almaarufu Kiroho.
Taarifa zinadai kuwa Meja Jenerali Godefroid Niyombare aliyeongoza jaribio hilo la Mapinduzi alitorokea nchini Rwanda
Jaribio hilo lililoshindwa lilifanyika Mei 16,2015 wakati Mwendazake Piere Nkrunziza akihudhuria Kikao cha Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Jijini Dar es Salaam.
Majenerali wengine waliohusika na jaribio hilo la mapinduzi na ambao walihukumiwa kifungo cha maisha ni Zenon Ndabaneze, Nimenya Hermenegilde na Juvenal Niyungeko almaarufu Kiroho.
Taarifa zinadai kuwa Meja Jenerali Godefroid Niyombare aliyeongoza jaribio hilo la Mapinduzi alitorokea nchini Rwanda