Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

Hajui maisha huyo sio kila mtz ana uwezo wa kushona nguo au kununua nguo mpya,,,,mfyuuuuuuuu
 
Unapiga marufuku mitumba halafu una import nguo mpya toka Uturuki na China...[emoji23]
 
Mkuu kwa Huseein Mwinyi huyo jamaa sijui hayo malezi ameyapata wapi ya kuwa muungwana pamoja na kuwa na cheo kikubwa.

Sijawahi kumsikia kabisa akiongea maneno ya kujitweza kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndio kachukua tabia ya babake kabisa Ni humble sana
 
Hivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?

Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anataka kuturundisha kwenye kuvaa zile fulana zilizoandikwa kaa chonjo saa mbaya
 
Huyu masalia ya muhindi sijui mwarabu mchafu huwa anaropokaga tu.

Kumbe ni hulka yake. Maana mwaka huu amekuja na kodi ya simu iongezwe etu ya uzalendo ingali yeye anapata zaidi ya milioni 11 kwa mwezi kama mshahara na marupurupu ukiacha vikao vya bunge ambayo ni 230 K kwa kikao.
 
Inawezekana sembe ilimuachia makovu kwenye ubongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…