Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

Ili mparue vizuri kodi zetu?,haiwezekani
Mzee wao A.Mwinyi na Mkewe asubuhi mara nyingi anapiga zoezi ile barabara ya Mwai Kibaki na Mwanae huyu pia H.Mwinyi na Mkewe wanapiga jogging asubuhi safi kabisa unaweza kuwapita hata usijue kuwa ni wao,jamaa wana maisha simple mnooo.
Natamani 2025 ashike JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa naona zungu ni mtu wa heshima kumbe ndio hivyo mpeni pole Kama ndio fikira zake zimeishia hapo
 
Mitumba haiharibu mazingira, bali inasaidia mazingira..., kivipi utauliza.., jibu ni recycling...

Utengenezaji wa nguo mpya na fashion industry ndio inaharibu mazingira, kuanzia kilimo, mbolea, matumizi ya maji na fast fashion watu kununua nguo na kuzivaa muda mchache na kuzi-dispose
 
Nikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hata hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu.

Rais Magufuli umefanikiwa sana kupiga vita mifuko ya Plastic, lakini sasa mifuko hiyo inarudi kwa njia za pembeni, vifungashio (packages) sasa vinaboreshwa na Watu wanabebea vitu na kuharibu mazingira, watu wa NEMC tuulize kwanini vitu hivi viko mitaani, nitalifanyia kazi.

Kwa Watu wa Wizarani (Muungano na Mazingira) urafiki upo lakini kwenye kazi za Umma hatutofanya urafiki, tukikutana nje ya kazi za Umma tutaendelea na Urafiki wetu.

Amakweli mwenye shibe kamwe hamjui mwenye njaaa sasa tusubiri mapya ya kupiga marufuku mitumba.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hana jeuri ya kuzuia mitumba, kwa uchumi gani huuu wa kuzuia mitumba. Tutavaa nn? Alafu wapiga kura wake ni wauza mitumba, yeye ni muhusika wa bihashara za mitumba na Serikali inanufaika kwa mitumba, ingawa ndio ivyo kiuchumi inaharibu mzunguko wa viwanda vya kutengeneza nguo
Ni sawa na kuacha kulima tumbaku kwa kuwa inaleta kansa, jibu ni hapana uwezi acha kuuza sigara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jameni hebu tuwe wakweli kasema hayo wapi mana kasema tu hajavaa mitumba na kweli chupi, skin tight, sidiria na hata maboxer ya mitumba dunia nzima inayakataa kwasababu ya magonjwa mbalimbali..Msishupalie jambo hili na kuleta hoja za wanyonge..Unyonge sio sifa ya kuishi nayo..

Zungu lao atapiga kazi vizuri tumpe muda..atatue majungu na kero kwanza kule ofisini .
 
Back
Top Bottom