Mikoani %kubwa wanavaa nguo mpya mitumba iko DarHivi Zungu Anafikiri kwamba huko kijijini nako kuna maduka ya nguo kila kona kama ilivyo Kariakoo?
Ifike mahala viongozi wafikirie kimapana wasifikirie kama wako kwenye chupa kwamba Tanzania nzima iko kama dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii AWAMU YA KIZUSHI... WANA MAMBO YA AJABI AJABU NA KISHAMBAHapo ni mtihani. Kumbuka kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kuuza mitumba. Mitumba inachafuwa vipi mazingira wakati inavaliwa ?
Kibabu kina 63....huko aisee badala alee wajukuu zakeMagufuli bana...asa huyu Zungu kazeeka ana randuka hata kwenye picha ana jipya gani la kuleta kwenye the so called tanzania ya viwanda?
Mikoani %kubwa wanavaa nguo mpya mitumba iko Dar
Nikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hata hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu.
Rais Magufuli umefanikiwa sana kupiga vita mifuko ya Plastic, lakini sasa mifuko hiyo inarudi kwa njia za pembeni, vifungashio (packages) sasa vinaboreshwa na Watu wanabebea vitu na kuharibu mazingira, watu wa NEMC tuulize kwanini vitu hivi viko mitaani, nitalifanyia kazi.
Kwa Watu wa Wizarani (Muungano na Mazingira) urafiki upo lakini kwenye kazi za Umma hatutofanya urafiki, tukikutana nje ya kazi za Umma tutaendelea na Urafiki wetu.
Amakweli mwenye shibe kamwe hamjui mwenye njaaa sasa tusubiri mapya ya kupiga marufuku mitumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wetu walio wengi wanapopata nafasi wanakuja na maneno mengi mazuri lakini wanapoanza majukumu yao wanageuka kama siyo waoNikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hata hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu.
Rais Magufuli umefanikiwa sana kupiga vita mifuko ya Plastic, lakini sasa mifuko hiyo inarudi kwa njia za pembeni, vifungashio (packages) sasa vinaboreshwa na Watu wanabebea vitu na kuharibu mazingira, watu wa NEMC tuulize kwanini vitu hivi viko mitaani, nitalifanyia kazi.
Kwa Watu wa Wizarani (Muungano na Mazingira) urafiki upo lakini kwenye kazi za Umma hatutofanya urafiki, tukikutana nje ya kazi za Umma tutaendelea na Urafiki wetu.
Amakweli mwenye shibe kamwe hamjui mwenye njaaa sasa tusubiri mapya ya kupiga marufuku mitumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza kupiga marufuku magari ya mitumba kwanza, tuwe na magari mapya tu. Kitu cha mwisho kabisa baada ya miaka na miaka iwe mitumba ya mavazi ila tubaki na mitumba ya wake na waume, ukimchoka namchukua mimi.Nikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hata hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu.
Rais Magufuli umefanikiwa sana kupiga vita mifuko ya Plastic, lakini sasa mifuko hiyo inarudi kwa njia za pembeni, vifungashio (packages) sasa vinaboreshwa na Watu wanabebea vitu na kuharibu mazingira, watu wa NEMC tuulize kwanini vitu hivi viko mitaani, nitalifanyia kazi.
Kwa Watu wa Wizarani (Muungano na Mazingira) urafiki upo lakini kwenye kazi za Umma hatutofanya urafiki, tukikutana nje ya kazi za Umma tutaendelea na Urafiki wetu.
Amakweli mwenye shibe kamwe hamjui mwenye njaaa sasa tusubiri mapya ya kupiga marufuku mitumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na amewaacha kama alivyo wakuta! pamoja na nyota zake!!!Maneno tu hayo.
Ajue walikuwepo walionengua hadi viuno!
Muache abwabwaje tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyeshiba anajua kila mtu amefika Dubai!Hamkumwelewa waziri zungu hakusema uvaaji wamitumba unachafua mazingira ila uuzaji horera wa kutundika nguo hadi kwenye miti mabarabarani ndiyo uchafuzi wa mazingira aliosema waziri Zungu wekeni nguo zenu madukani tuje kununua kama ilivyo Dubai
Amekuzwa na Mitumba Leo anaidharau utadhani kaingia mjini leo
Hamkumwelewa waziri zungu hakusema uvaaji wamitumba unachafua mazingira ila uuzaji horera wa kutundika nguo hadi kwenye miti mabarabarani ndiyo uchafuzi wa mazingira aliosema waziri Zungu wekeni nguo zenu madukani tuje kununua kama ilivyo Dubai
aisee, wakati nimetoka majuu nilikuwa najifanya mjanja kuhusu mitumba, sasa kila nikivunja kabati nakutana na msela amevaa kiatu kikali kinoma, ukiuliza amenunua wapi anakuambia ni mtumba wa elf 10/15. (kwa wadau wa AR watajua viatu vinapatikana wapi mm nimesahau jina)
kwa ss nshaacha huo ijinga wa kununua kiatu cha 50/80 halafu kinakuwa cha kawaida kbsaaa. nikitaka kiatu nashuka chimbo la AR/Moshi.
Kwa hili hata wana CCM watamrushia mawe!