Wazo: Badala ya kuuza nje umeme wa ziada, kwanini tusiwape bure wenye viwanda?

Wazo: Badala ya kuuza nje umeme wa ziada, kwanini tusiwape bure wenye viwanda?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
 
Kuwapa bure wenye viwanda huo unaoutumia kusukuma taa zako nne fridge na fans hapo nyumbani kwako umeshatosha?

Wakati mwengine hawa wanasiasa uchwara sijui wanatuonaje sisi wananchi.
 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Mleta mada akili huna kabisa hiyo mikopo tuliyokopa yenye riba kujenga hilo bwawa la umeme la Nyerere atalipa baba yako? Tukitoa umeme bure?
 
Huo umeme wa ziada upo kweli au unaongelea "umeme" ?
 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Hivi bado mnawaza iko siku maoni yanu yatasikilizwa na kufanyiwa kazi😀😀😀

Ukiwa Afrika just do one thing and forget the rest. Kitu kimoja hicho ni jitahidi kadri ya uwezo wako tafuta chakula kula futa mdomo panda kitandani lala kesho tena hivyohivyo mpaka utakapotwaliwa.

Hizi mambo na akili za nje ya box unajitafutia stress na depression kisha utaanza lawama na kutukana watu hovyo mwishowe utapatwa kwenye hatari ya kisheria na utaingia adhabu na majuto.
 
Kuwapa bure wenye viwanda huo unaoutumia kusukuma taa zako nne fridge na fans hapo nyumbani kwako umeshatosha?

Wakati mwengine hawa wanasiasa uchwara sijui wanatuonaje sisi wananchi.
Inadaiwa matumizi yetu ni 1800MW. Na uzalishaji utafika 3000+. Hivyo tutakuwa na ziada 1200 walizopanga kuuza nje.
 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Wewe ulipinga ujenzi wa bwawa kwa hiyo Huna mamlaka yoyote ya kushauri matumizi ya bwaaa
 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Umeme upi huo unaongelea wewe,ccm wanachoweza ni kula na kuongea tu mpka choo wanajengewa na wahisani
 
Back
Top Bottom