Wazo: Badala ya kuuza nje umeme wa ziada, kwanini tusiwape bure wenye viwanda?

Wazo: Badala ya kuuza nje umeme wa ziada, kwanini tusiwape bure wenye viwanda?

Au mimi sielewi maana ya ziada?!🤔
 
Mleta mada akili huna kabisa hiyo mikopo tuliyokopa yenye riba kujenga hilo bwawa la umeme la Nyerere atalipa baba yako? Tukitoa umeme bure?
Wewe unavyonunua umeme kwa Tsh hiyo hela haiendi kulipa deni la umeme sababu madeni ya nje hayalipwi kwa Tsh. Mwenye kiwanda kwenye EPZ anazalisha kitu na kwenda kuuza nje ya nchi na kuingizia nchi pesa za kigeni, dolari. Hizo ndizo zinaweza tumika kulipa madeni.
 
Kuvutia uwekezaji. Wengi ili kuwekeza kwenye viwanda wanahitaji umeme wa uhakika na wa bei cheap.
Na hiyo mikopo.ya pesa za kigeni yenye riba toka mabenki ya kimataifa utalipia nini ukitoa bure? Au bei ndogo sana
 
Inadaiwa matumizi yetu ni 1800MW. Na uzalishaji utafika 3000+. Hivyo tutakuwa na ziada 1200 walizopanga kuuza nje.
Haya maneno ameongea mfanyakazi anayelipwa mshahara na serikali ya CCM?kama ndivyo hizo ni ndoto za alinacha.
 
Kama wao wanapeana ma unit kibao kila mwezi sisi raia tunawekwa kwenye tariff one ili tusiweze kupata hata unit 100 kwa shilingi elfu 10
 
unaanza kuuzwa mwaka gani
?
 
Hapo juu mleta mada nilikuuliza kama utani umeme unaotumia nyumbani kwako kama umetosha imekuwa kama laana nimeingia mtaani kwangu huku Mbezi shamba nasikia waliondoka nao toka saa moja kasoro hali ni kama unavyoona
IMG_20250304_204510.jpg
IMG_20250304_204504.jpg
 
Kuna mambo ambayo huelewi..., Moja private companies are after profit, kwahio bei ya kitu haitegemei production cost pekee bali ni kiasi gani watu wanaweza kutoa. Hivyo kwa kuvipa umeme bure viwanda usitegemee watashusha bei bali utawaongezea profit.

Hivyo ni bora hata kuuza nje kama ni premium ili raia uweze kuwashushia bei, after all kama watapunguza bei ya manunuzi (umeme) watapata buying power ya kununua bidhaa.

Tatu hivi unajua Nishati safi tunanunua Gesi (LPG) kwa pesa za kigeni na kodi zetu ?, Kwanini hio ziada isishushwe bei ili raia waweze kuondokana na kununua gesi kwa jirani na kupikia umeme ambao tunao ?




 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Nimekosa imoji ya solut ila pokea ha hiiđź’Ş
 
Mkuu, umeme sio kitu cha bure, ile ni biashara ya Tanesco, kuutoa bure manake serikali inabidi ianze kutoa ruzuku,
 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Chakadomoz mko shallow sana

Bute halafu? Who will bear the cost?
 
Inasemwa bwawa la Nyerere likianza zalisha full capacity tutakuwa na ziada ya 1200 MW. Na kwamba umeme huo tutauuza nje. Ukweli ni kuwa umeme wetu ni mdogo sana, hiyo ziada ni vile tu wengi hawatumii umem.

Sasa, badala ya kuuza huo umeme nje kwa nini tusianzishe EPZs, Export Processing zones, yaani maeneo ya viwanda vinavyozalisha bidhaa kwa ajili ya kuexport, na kisha tukavipatia viwanda hivyo umeme wa bure au kwa labda 20% ya bei ili kuchochea uchumi. Viwanda hivyo vitazalisha ajira na pia vitaleta fedha za kigeni kwa nchi.

Maana utamuuzia mwingine umeme, atautumia kuzalisha bidhaa na kuja kukuuizia wewe mwenyewe. Akipata faida na kuzalisha ajira kwa watu wake.
Hakuna cha bure mkuu, kuna operation cost kwenye umeme lazima zifidiwe na mtumiaji
 
Mkuu, umeme sio kitu cha bure, ile ni biashara ya Tanesco, kuutoa bure manake serikali inabidi ianze kutoa ruzuku,
Wanadai kuzalisha umeme wa maji gharama average ni Tsh 125 kwa unit moja. Inaweza kuwa ndogo hadi 50 kwa unit. Tunanunua umeme kwa kama Tsh 360 kwa unit. Kama unazalisha unit kwa Tsh 50, ziada unaweza kabisa kuwapa wenye viwanda vya kuexport bure. Au wanalipia tuseme 100 kuchangia uzalishaji na usambazaji. Faida utakayopata kwenye kuzalisha ajira na kuexport, kupata kodi na kupata pesa za kigeni ni kubwa kuliko ukiuza huo umeme nje.
 
Wanadai kuzalisha umeme wa maji gharama average ni Tsh 125 kwa unit moja. Inaweza kuwa ndogo hadi 50 kwa unit. Tunanunua umeme kwa kama Tsh 360 kwa unit. Kama unazalisha unit kwa Tsh 50, ziada unaweza kabisa kuwapa wenye viwanda vya kuexport bure. Au wanalipia tuseme 100 kuchangia uzalishaji na usambazaji. Faida utakayopata kwenye kuzalisha ajira na kuexport, kupata kodi na kupata pesa za kigeni ni kubwa kuliko ukiuza huo umeme nje.

Hujui kama hela za kujenga bwawa ni za mkopo ?

Mnafikiri Arab contractor amejenga bwawa bure bure
 
Back
Top Bottom