Erick kg
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 314
- 71
Habari humu,
Nina wazo bora na nimepata tender ya biashara pale QUALITY CENTRE MALL.
Wazo lenyewe ni kufungua PLAYSTATION AND XBOX GAMES STUDIO pale Quality centre, Funspot.
Mpaka sasa nimeshapata deal la kuwekeza pale na wamiliki tumekubaliana kuhusu chochote kinachopatikana ni 50:50 na wamiliki wa QUALITY CENTRE.
Hii biashara ina pesa sana.
Tumepanga kuweka Tv 10.
Ba gharama kwa saa ni 10,000
Na sehemu inafanya kazi masaa 12 kuanzia saa 4asubuhi mpaka saa4 usiku.
Makadirio ya mahesabu ya pesa itayopatikana kwa siku.
Tufanye sehemu itakuwa active masaa 4 kila siku imejaa watu
10 Tv *10,000 *4 =400,000 kwa siku
Kwa mwezi
400,000* 30= 12,000,000
Makubaliano ya biashara baina ya mimi na quality centre ni 50:50
Na quality wanalipa kodi, umeme na gharama zingine za pango.
12,000,000 ÷2 =6,000,000
Tufanye 2,000,000 ni gharama za uendeshaji wa biashara
Kinachobakia ni 4,000,000.
Kwahio biashara inauhakika wa kutengeneza 4m kila mwezi kwa mwaka itatengeneza 48,000,000 tshs.
Na PESA inayotakiwa kuwekeza ni 20-25millioni
Ambayo itatumika kununua
Television 10
Playstation console 4- idadi 4
Playstation console 3- idadi 3
Xbox idadi 3
Furniture
Gaming lights
decoration
Kwa maelekezo zaidi usisite kuwasiliana na mimi. Natafuta mwekezaji wa biashara hii.
kuna pesa nyingi pale.
0717022737.
Nina wazo bora na nimepata tender ya biashara pale QUALITY CENTRE MALL.
Wazo lenyewe ni kufungua PLAYSTATION AND XBOX GAMES STUDIO pale Quality centre, Funspot.
Mpaka sasa nimeshapata deal la kuwekeza pale na wamiliki tumekubaliana kuhusu chochote kinachopatikana ni 50:50 na wamiliki wa QUALITY CENTRE.
Hii biashara ina pesa sana.
Tumepanga kuweka Tv 10.
Ba gharama kwa saa ni 10,000
Na sehemu inafanya kazi masaa 12 kuanzia saa 4asubuhi mpaka saa4 usiku.
Makadirio ya mahesabu ya pesa itayopatikana kwa siku.
Tufanye sehemu itakuwa active masaa 4 kila siku imejaa watu
10 Tv *10,000 *4 =400,000 kwa siku
Kwa mwezi
400,000* 30= 12,000,000
Makubaliano ya biashara baina ya mimi na quality centre ni 50:50
Na quality wanalipa kodi, umeme na gharama zingine za pango.
12,000,000 ÷2 =6,000,000
Tufanye 2,000,000 ni gharama za uendeshaji wa biashara
Kinachobakia ni 4,000,000.
Kwahio biashara inauhakika wa kutengeneza 4m kila mwezi kwa mwaka itatengeneza 48,000,000 tshs.
Na PESA inayotakiwa kuwekeza ni 20-25millioni
Ambayo itatumika kununua
Television 10
Playstation console 4- idadi 4
Playstation console 3- idadi 3
Xbox idadi 3
Furniture
Gaming lights
decoration
Kwa maelekezo zaidi usisite kuwasiliana na mimi. Natafuta mwekezaji wa biashara hii.
kuna pesa nyingi pale.
0717022737.