Wazo bunifu: Ma IT wa JF

Wazo bunifu: Ma IT wa JF

Nishafikiria sana idea hii

Kuna apps naona pia zinafanya, ila wanashindwa kumskip dalali, yani ukishapata nyumba kwenye app then kuinitiate communication inakupeleka kwa dalali
Ni ngumu kumskip madalali maana ndio wananyumba. Nimeona niwape sapot ili kupata wateja wengi kwa mkupuo . Wenye nyumba wengi wanaendeshewa nyumba zao na madalali.
 
Hapa TANZANIA tunahitaji App Kama hiyo kwa nchi nzima hasa kutoa fursa katika Kazi za mikono Kuna watu wana Kazi zao za malipo kidogo hivyo akipata Mtu ambaye yupo eneo la karibu anamtafta na kumpa hiyo Kazi kwa Bei nzuri



HIli wazo litajikita katika Kazi za mikono zaidi tofauti na hizo upwork


Pia tunaweza kuboresha zaidi hata mtu ambaye Hana smartphone akatumia lengo ni kuhakikisha fursa Inamfikia Mtu akiwa eneo husika kwa ukaribu zaidi nadhani wazo langu ni zuri Sana Kama mtalizingatia
Nice business idea bro. Shida ni pesa bro. Inawezekana sana babuu.
 
Dr. I am glad you brought this.

Actually hiyo ndiyo naifanyia kazi. Umeshaoanisha shida ya kwanza. Shida ya pili ambayo nataka kutatua ni hiyo ya malipo. Nimeona vibarua wengi wanazungushwa na malipo yao mara baada ya kumaliza kazi.

Kwa hiyo solution yangu ni kwamba, employer yoyote akipost kazi, lazima aweke na hela kwenye app. Kibarua yoyote ambaye employer atamchagua kufanya hiyo kazi atalipwa na system mara baada ya employer kuridhika na utendaji wa kazi yake.

Nilipokwama ni hapo kwenye transaction. Ukiangalia hizo dynamics zake kama nilivyosema hapo post za mwanzo, hakuna kampuni yoyote inayotoa escrow (holding) services.

Pia kuna vitu vingine vipo kwenye app ambavyo nimeviweka tayari ambavyo vitaweza kubadili utendaji, uaminifu, uadilifu na mambo mengine.

Kitu kingine kikubwa ambacho nilitaka niki-enforce ni ku-set minimum payment. Kama jamii inabidi tuwe part of solution and not problem. What I mean is, huwezi kumlipa kibarua TShs3000 kwa siku nzima halafu utegemee aweze kumudu maisha yake, especially kama ana familia. Kama employer uko katika position nzuri, at least lipa reasonable wage ili huyu kibarua aweze kujikimu.

I am doing final touches and testing thereafter. So, it will be out within two months. App name will come out later.

Stay tunned.
Ishu ni simple sana bro wala usichome calories nying kuhusu escrow. Kama umeshawai kutumia tigo web payment au gateway yoyote ya mitandao ya simu kuna kitu kinaitwa collection account na disbursment account.

Hii disbursment account ni mfumo ambao unaweza kumtumia mtu pesa au ukamrefund pesa au unaweza tuma malipo kwa watu wote wanaostail kulipa kila mwezi.

Escrow ni mfumo ambao wewe unaweza ukaungeneza kwenye system yako ili buyer na seller wasiwe na nguvu ya kutapeliana.

Kama pesa inaingia kwenye account ya kampuni maana yake buyer na seller hawana uwezo wa kuitoa ila wewe. Kitendo cha wewe kuhiruhusu iende kwa buyer au seller ndio escrow yenyewe hiyo bro.

Nilishawai fanya kazi na tigo najua hizo mambo nilizotaja hapo juu. Pia najua nini maana ya escrow , escrow ni ishu ambayo nimeojulia kwenye crypto p2p.
 
Nitajaribu kuongea nao. Kama nilivyosema hapo nyuma, ikishindikana kwa sasa, nitafanya employer wa-post kazi bila deposits yoyote. Labda baadae nita upgrade once hiyo huduma ikitokea.

Thanks.
Utakwenda kufeli . Kuna jamaa angu alitengeneza app ya usafirishaji bila nalipo kafeli swafi bila mbambamba.
 
Ni ngumu kumskip madalali maana ndio wananyumba. Nimeona niwape sapot ili kupata wateja wengi kwa mkupuo . Wenye nyumba wengi wanaendeshewa nyumba zao na madalali.
Mimi kwenye ku scratch kuna mwanga nimeuona kwamba dalali anaweza kuwa skipped, nadhani skipping dalali ndo disruption yenyewe difference ilipo mkuu.. sio asilimia mia kwa sasa ila nafikiri there is a way
 
Ishu ni simple sana bro wala usichome calories nying kuhusu escrow. Kama umeshawai kutumia tigo web payment au gateway yoyote ya mitandao ya simu kuna kitu kinaitwa collection account na disbursment account.

Hii disbursment account ni mfumo ambao unaweza kumtumia mtu pesa au ukamrefund pesa au unaweza tuma malipo kwa watu wote wanaostail kulipa kila mwezi.

Escrow ni mfumo ambao wewe unaweza ukaungeneza kwenye system yako ili buyer na seller wasiwe na nguvu ya kutapeliana.

Kama pesa inaingia kwenye account ya kampuni maana yake buyer na seller hawana uwezo wa kuitoa ila wewe. Kitendo cha wewe kuhiruhusu iende kwa buyer au seller ndio escrow yenyewe hiyo bro.

Nilishawai fanya kazi na tigo najua hizo mambo nilizotaja hapo juu. Pia najua nini maana ya escrow , escrow ni ishu ambayo nimeojulia kwenye crypto p2p.

Nashukuru kwa ku-share uzoefu wako. Changamoto ambayo najaribu kuepuka hapa au iwe very minimal, ni interaction ya mimi na app/system on a daily basis.

Kikubwa ninachotaka app/system iweze kufanya ni "Mwajiri aki-approve kazi baada ya kuridhika," malipo yafanyike automatically.

Kwa hiyo swali langu ni je, hilo linawezekana ukiwa na hiyo disbursment account?
 
Nashukuru kwa ku-share uzoefu wako. Changamoto ambayo najaribu kuepuka hapa au iwe very minimal, ni interaction ya mimi na app/system on a daily basis.

Kikubwa ninachotaka app/system iweze kufanya ni "Mwajiri aki-approve kazi baada ya kuridhika," malipo yafanyike automatically.

Kwa hiyo swali langu ni je, hilo linawezekana ukiwa na hiyo disbursment account?
YES.
 
Mimi kwenye ku scratch kuna mwanga nimeuona kwamba dalali anaweza kuwa skipped, nadhani skipping dalali ndo disruption yenyewe difference ilipo mkuu.. sio asilimia mia kwa sasa ila nafikiri there is a way
Labda ufanye property management, hapo ndipo madalali unaweza kuwakalisha vingunguti.
 
Kama unafanya kazi kwenye kiwanda chochote cha construction material such as cement, tiles, gypsum n.k. Naomba namba yako DM.

Kuna section nataka niweke kwenye mfumo watu tuwe tunanunua bidhaa za ujenzi kwa discount , kwa jina maarufu wanaita GROUP BUYING/ TEAM BUYING. Hapa natafuta vendors wakufanya nao kazi.

Lengo ni kupunguza gharama ya ujenzi kwa tunaoanza kujenga.
 
Back
Top Bottom