Wazo Fyatu: Ukali wa Mbwa Humtegemea Mwenye Mbwa...

Wazo Fyatu: Ukali wa Mbwa Humtegemea Mwenye Mbwa...

Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
EEEEeeeh EEeeeeHeeeeee!
Sijasoma yote, lakini niliyofanikiwa kuyasoma,:
1. Kichwa cha Mada

2. Multiple choice hapo chini
3. Pamoja na fikra zilizoniijia kichwani baada ya kukuona mleta mada, na kushukuru kwamba kumbe Corona haikuwa chochote, wala lolote kwa upande wako...,
NIKACHEKA SANA, kama nilivyofanya hapo juu!

Ili nami nihesabike katika waliofanya mtihani huo, ngoja nijitose kuujibu kwa kuchagua jibu (z) kama jibu sahihi.

Sasa ngoja nikaisome mada.
 
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!
Umenena.

Kila kitu kipo hapo.

Sina lolote la kuongeza hapa.

Hebu ngoja!

Hivi "Mwenye mbwa", na yeye anaweza akawa mali ya mtu mwingine anayemwamrisha kama mwanasesele, huku yeye akiwa pembeni?
 
Umenena.

Kila kitu kipo hapo.

Sina lolote la kuongeza hapa.

Hebu ngoja!

Hivi "Mwenye mbwa", na yeye anaweza akawa mali ya mtu mwingine anayemwamrisha kama mwanasesele, huku yeye akiwa pembeni?
Yaani mwenye mbwa naye anamtu ameshika mnyororo? Mbona ni kama kile kitendawili cha "mbele ya baba Kuna baba na nyuma ya baba Kuna baba; kulikuwa na baba wa ngapi?". Labda wa kumtafuta mshika mwenye mbwa...
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
Sasa hiyo Z inaingiaje hapo
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
Utashukiwa kama mwewe na kuitwa sukuma gang na walee jamaa. Yaani umemtaja Magufuli?
 
Mnazungumzia ukali bila ubora wa pori(katiba) story tu za hewala hewala...
Ukali ndio unaoua Africa every day
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
Ukali wa mbwa hutegemea mbinu za mwenye mbwa. Mbwa wengine huonekana ni wakali kwa kuwa wana bweka bweka hovyo tu.

Mwenye mbwa anaweza kutumia mbinu sahihi na za kitaalamu ili apate matokeo aliyoyakusudia. Lakini zipo mbinu zisizokuwa kuwa za kitaalamu ambazo huwa athari hasi mbwa mwenyewe.

Kwa kuwa wazo lililopo mezani ni fyatu, basi chukulia mfano mbwa amevutishwa bange, kwa vyovyote vile atakuwa mkali kwa muda mfupi awapo katika athari kilevi cha jani, ingawaje mbinu ambayo imetumika huwa siyo nzuri.

Hapo jibu la "z.Magufuli" linapata mashiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaza nipate hata hao mbwa wanaokimbiza hata upepo wawakimbize wale wanaochezea koki ya maji kwa kuifunga
 
Back
Top Bottom