Wazo Fyatu: Ukali wa Mbwa Humtegemea Mwenye Mbwa...

Wazo Fyatu: Ukali wa Mbwa Humtegemea Mwenye Mbwa...

Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
Akili mingi
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
Hapo kwenye Z. Ndo umefanya uncode. Drama inaendelea huko kilingeni na wanajipodoa na mapovu yao wenyewe
 
Hiyo kweli kabisa. Sema wenye mbwa wengine huchukua majukumu ya mbwa! Yaani, mwizi akija hawataki mbwa wabweke kwa wivu ila wanabweka wao, kujaribu kumkimbiza mwizi na huku nyuma wezi wanamzunguka na kukwapua!!
 
mbwa kwa asili ni kiumbe wa kujipendekeza kwa boss,hupenda na huona fahari kutekeleza yale anayofundishwa na kuamriwa na boss wake,hutenda kwa furaha,wepesi na usahihi ili kumfurahisha boss wake,kasheshe ni pale anapogundua boss wake hapendi yeye atekeleze yale aliyomfundisha,mbwa hujaribu namna nyingine kumfurahisha boss wake,hutenda hata ambayo hayapo ktk mtaala aliofundishwa ili tu boss afurahi.hukata tamaa zaidi boss anapoonyesha hataki shobo[emoji28][emoji28],mbwa hubaki getini kwa unyonge sana asijue nini afanye kumweka sawa boss wake.
IMG_0056.jpg



lakini hubaki mtiifu mpaka uzeeni,maana sio asili yake kulala na mwizi avuke geti na kuingia ndani kuiba.
 
Yaani mwenye mbwa naye anamtu ameshika mnyororo? Mbona ni kama kile kitendawili cha "mbele ya baba Kuna baba na nyuma ya baba Kuna baba; kulikuwa na baba wa ngapi?". Labda wa kumtafuta mshika mwenye mbwa...
Wamiliki halali wa mbwa na mwenye mbwa ndio tatizo,NI MAZEZETA
 
mbwa kwa asili ni kiumbe wa kujipendekeza kwa boss,hupenda na huona fahari kutekeleza yale anayofundishwa na kuamriwa na boss wake,hutenda kwa furaha,wepesi na usahihi ili kumfurahisha boss wake,kasheshe ni pale anapogundua boss wake hapendi yeye atekeleze yale aliyomfundisha,mbwa hujaribu namna nyingine kumfurahisha boss wake,hutenda hata ambayo hayapo ktk mtaala aliofundishwa ili tu boss afurahi.hukata tamaa zaidi boss anapoonyesha hataki shobo[emoji28][emoji28],mbwa hubaki getini kwa unyonge sana asijue nini afanye kumweka sawa boss wake.View attachment 2412242


lakini hubaki mtiifu mpaka uzeeni,maana sio asili yake kulala na mwizi avuke geti na kuingia ndani kuiba.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Badilisha hili kwako mwenyewe ama kwangu mwenyewe. Hata ukali wa ubongo wako ama wangu inategemeana namie mwenyewe navyouendesha kuu handle, naulisha Nini Kati ya social media,books hata Kama books za mlengo gani,miziki nayosikiliza,watu naongea nao,naofanya nao kazi,mazungumzo nayoji engage kuchangia,movies nazocheki. Everything it's within your reach. Garbage in garbage out aka gigo.
 
Badilisha hili kwako mwenyewe ama kwangu mwenyewe. Hata ukali wa ubongo wako ama wangu inategemeana namie mwenyewe navyouendesha kuu handle, naulisha Nini Kati ya social media,books hata Kama books za mlengo gani,miziki nayosikiliza,watu naongea nao,naofanya nao kazi,mazungumzo nayoji engage kuchangia,movies nazocheki. Everything it's within your reach. Garbage in garbage out aka gigo.
Khaaa...
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Unaweza ukakuta mbwa asiyebweka; unaweza kukuta mbwa anayebwekabweka tu lakini hang'ati. Kuna mbwa mwingine ukimtazama tu unajua huyu "shughuli". Na unaweza kukuta mbwa wanaopenda kucheza cheza; hawafoki, hawabweki, wapo wapo tu ila wanaona raha kuita "puppy, puppy"!

Siyo kila mbwa anaweza kubweka; na siyo kila mbwa anaweza kuwa wa kulinda. Wengine wapo kwa ajili ya mapambo tu kama tule tu 'chiuhahua'. Vimbwa vile vina makeke mengine lakini ndiyo hivyo ni vya kupet pet tu. Huwezi kulinda nyumba na hivi vijibwa. Kuna vingine ni vya mashindano tu; yaani unavipendezesha tu ilimradi watu waseme "she is so cuuuteeee".

View attachment 2411710
(Chiuhauha)

Na wapo mbwa wengine kazi yao ni kuwinda si kulinda; kuna hao wanaitwa 'greyhounds'. Wanakimbia hawa, wanafukuza lakini mara nyingi hawali! Watakamata kasungura watakusubiri ukawahi! Wao wanakimbiza hata karatasi kwenye upepo.. alimradi waoneshe uwezo wao wa kukimbia!

Lakini inasemekana ukitaka ulinzi mzuri na mbwa anayetii na kufuata amri na akawa mzuri hata nyumbani hakuna anayependwa zaidi kama German Shepherd au mchanganyiko wake. Na wengine wanawapenda wale Doberman. Haya bana ukikutana nayo lazima ujibane ukitembea!

View attachment 2411706
(Doberman Pinscher)

View attachment 2411709
(German Shepherd)
Lakini vyovyote vile ukali wa mbwa humtegemea mwenye mbwa. Kama mbwa analelewa kwa kuruhusiwa kuchezewa chezewa tu, kushikwa shikwa tu hata kama ni mbwa kwa asili ni mkali anaweza kuwa kama pets wengine tu! Sasa ukifika mahali ukakuta mtu anasema ana mbwa mlinzi halafu watu wanakuja na kuiba kila kukicha na yeye anajisifia mbwa aliyenaye ni mzuri kwa vile anaweza kufoka tu basi ujiulize.

Ndio maana hawa FFU na mbwa wao wale; akimwambia "kamata".. lazima amuachie! hawezi kumwambia kamata halafu akaendelea kumshika kwani na yeye ataburuzwa!

Somo la leo: Ukali wa Mwenye Mbwa humtegemea Mwenye Mbwa.... kama mbwa hang'ati, hafoki, hapigi mkwara hata kuja hadi getini tu... watu wakaogopa.. tatizo yumkini si mbwa.... tatizo ni .....

a. Mbwa
b. Kola ya Mbwa
c. Chakula cha Mbwa
d. Mwenye Mbwa
z. Magufuli.
🕕100
 
Back
Top Bottom