Shigongo alitoka kwa kukomaa na magzeti pendwa.
Mengi alitoka kwa kukomaa na serious media,
Bakhresa alitoka kwa kukomaa na food products
Diamond alitoka kwa kukomaa na mziki
Papaa msofe alitoka kwa kukomaa na udalali na utapeli
Mafurungi alitoka kwa kufanya franchising
Patrick ngowi alitoka kwa kukomaa na solar energy.
NB: wote walitoka kwa kukomaa na kitu fulan,then kilichofuata baada ya hapo ni diversification ,ambapo the profit waliyo ipata huko wali ireinvest katika idea nyingine ,had leo hii unawaona hapo walipo