Wazo: Gari zote Automatic chini ya tani mbili zibadilishwe kuwa manual kupunguza msongamano!

Wazo: Gari zote Automatic chini ya tani mbili zibadilishwe kuwa manual kupunguza msongamano!

Sijakuelewa ni kwavipi gari ya automatic itaongeza foleni na manual kupunguza

Itakuwa ni zile roho za kwetu uswahilini. Huwa hatufurahii mafanikio ya wengi.

Bila shaka idadi ya wawezao kuendesha manual gear vehicles ni wachache sana. Hivyo mleta mada na wachache tu watakuwa na fursa zaidi za kutanua.

Uswahilini hakupendezi kama wanaofurahia maisha ni wengi.
 
Afu watu hawajaui kwann wengi wanaendesha auto suala hapa ni uchumi mdogo gari nyimhi za manual kwa sasa ni SUV ambazo bei kubwa na gari nying ambazo wenye uchumi mdogo wameza miliko haizina matoleo ya manual

Hiwa nashangaa jitu linakaza shingo kupond a waendesha auto wakati lenyewe hata vitz halina linaendehsa gari ya muhindi huko

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa ni zile roho za kwetu uswahilini. Huwa hatufurahii mafanikio ya wengi.

Bila shaka idadi ya wawezao kuendesha manual gear vehicles ni wachache sana. Hivyo mleta mada na wachache tu watakuwa na fursa zaidi za kutanua.

Uswahilini hakupendezi kama wanaofurahia maisha ni wengi.
Zamani wenye uwezo wa kununua gari, walikua wachache, lakini sidhani eti mtu anunue gari yake, akikusudia aendeshe alafu inshinde.
 
Afu watu hawajaui kwann wengi wanaendesha auto suala hapa ni uchumi mdogo gari nyimhi za manual kwa sasa ni SUV ambazo bei kubwa na gari nying ambazo wenye uchumi mdogo wameza miliko haizina matoleo ya manual

Hiwa nashangaa jitu linakaza shingo kupond a waendesha auto wakati lenyewe hata vitz halina linaendehsa gari ya muhindi huko

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Hiii siyo kweli. Wakati ukifika hakuna wa kuzuia, Sisi wazee, tunajua hilo, hata hizi TV wenye nazo walikua wanahesabika kweni hizi unazodhani hazinunuliki hazipo Tanzania.
 
Nilijua unazungumzia magari haya yaliyoteuliwa hivi karibuni mikoani na wilayani na Bi Mkubwa. Anyways, ngoja nielewe hivi, maana haya magari sijui 2025 yatafika kweli, because dereva wao ni kama hajui anakoelekea na kama kweli ana mafuta ya kutosha!???
 
Nilijua unazungumzia magari haya yaliyoteuliwa hivi karibuni mikoani na wilayani na Bi Mkubwa. Anyways, ngoja nielewe hivi, maana haya magari sijui 2025 yatafika kweli, because dereva wao ni kama hajui anakoelekea na kama kweli ana mafuta ya kutosha!???

Ndugu yangu mambo mengi acha kama yalivyo utapata msongo wa mawazo kubeba watu moyoni
Mama ndio raisi sasa haitobadilisha kitu
 
Ndugu yangu mambo mengi acha kama yalivyo utapata msongo wa mawazo kubeba watu moyoni
Mama ndio raisi sasa haitobadilisha kitu
^The very essence of leadership is that you have to have a vision. It's got to be a vision you articulate clearly and forcefully on every occasion. You can't blow an uncertain trumpet^ ~ Theodore M. Hesburgh
 
Nilijua unazungumzia magari haya yaliyoteuliwa hivi karibuni mikoani na wilayani na Bi Mkubwa. Anyways, ngoja nielewe hivi, maana haya magari sijui 2025 yatafika kweli, because dereva wao ni kama hajui anakoelekea na kama kweli ana mafuta ya kutosha!???
Mpk sasa dereva aliyeko kwny usukani h bado hajafanya zile Tabia za hovyo hovyo za kuwateka abiria wake,mara wamepotelea huko maporini

Yule dereva aliyepita nadhani leseni yake aliipata kupitia makanjanja.
 
Zamani wenye uwezo wa kununua gari, walikua wachache, lakini sidhani eti mtu anunue gari yake, akikusudia aendeshe alafu inshinde.

Hiyo ni nadharia. Ukweli ni kuwa AT imefanya uendeshaji kuwa rahisi zaidi na hivyo waendeshaji kuongezeka zaidi.
 
Mnaonaje Wadau, Serikali ikitunga sheria kuhusiana na wazo. Miaka ya 90 iliwezekana kwa zile chai/maharage, kutoka left hand drive to right hand drive
Serikali ifanye mpango nchi itengeneze magari yake, sio kuyaboronga ya wenzao.
 
Afu watu hawajaui kwann wengi wanaendesha auto suala hapa ni uchumi mdogo gari nyimhi za manual kwa sasa ni SUV ambazo bei kubwa na gari nying ambazo wenye uchumi mdogo wameza miliko haizina matoleo ya manual

Hiwa nashangaa jitu linakaza shingo kupond a waendesha auto wakati lenyewe hata vitz halina linaendehsa gari ya muhindi huko

Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Dunia imehamia kwenye automation mijinga bado inataka turudi kwenye manual. Baadae litataka zirudi TV za kichogo ambazo hatumii remote control..
 
Mtoa mada hujawaza vizuri.
Mtu ataacha kuendesha gari yake kwa muda wa wiki 2 tu huku akijifunza baada ya hapo atarudi barabarani.
Hivo hii idea yako itafanya kazi kwa wiki 2 kisha foleni itarudi tena.
 
Itakuwa ni zile roho za kwetu uswahilini. Huwa hatufurahii mafanikio ya wengi.

Bila shaka idadi ya wawezao kuendesha manual gear vehicles ni wachache sana. Hivyo mleta mada na wachache tu watakuwa na fursa zaidi za kutanua.

Uswahilini hakupendezi kama wanaofurahia maisha ni wengi.
Mtoa mada hajielewi sasa mtu aache kununua gari kisa ni manual? Aseme kila gari itakayoingia ushuru ni 40m hapo sawa lakini sio manual
 
Back
Top Bottom