Mzee bado huamini kuwa mwendazake ameshaenda? Kaa kwa kutulia nchi ipo mikono salamaNilijua unazungumzia magari haya yaliyoteuliwa hivi karibuni mikoani na wilayani na Bi Mkubwa. Anyways, ngoja nielewe hivi, maana haya magari sijui 2025 yatafika kweli, because dereva wao ni kama hajui anakoelekea na kama kweli ana mafuta ya kutosha!???