Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Kajengo kachafuuu, mi ilinichukua miaka kutambua wapi makao makuu ya klabu ya Simba Koko yapo maana siku zote napita hapo lkn sikuwahi kuwaza kuwa Mh. Rage akitaka kutoka ofisini lazima awaombe wauza CD za Kikorea, mikanda na vyupi wanyanyue bidhaa ndio apite.
Ofisi inafanana na Haji Manara
Ofisi inafanana na Haji Manara