Uchaguzi 2020 Wazo Jadidi: Sababu 5 za kwanini Zitto alipaswa Kugombea dhidi ya Magufuli - Sipendi akwepe hili

Uchaguzi 2020 Wazo Jadidi: Sababu 5 za kwanini Zitto alipaswa Kugombea dhidi ya Magufuli - Sipendi akwepe hili

Naamini wapo waliozaliwa kuwa wakosoaji wa Sera 'mfu' na naamini pia wapo waliozaliwa kuwa viongozi wakuu au watawala.

Zitto atabaki kuwa mkosoaji mkubwa wa Sera za JPM.
Tatizo la siasa za Kiafrika sii Upinzani wa Sera hata kidogo maana Zitto mwenyewe hukosoa UTEKELEZAJI kutokana na Mavuno. Yaani tukisha fikia mafanikio fulani yeye husema hayatoshi, yeye angefanikisha zaidi. Sasa sielewi utafanikishaje ukiwa nje?
Na sii peke yake, Wanaharakati wote husemea nje ya uwanja, Ukimwambia Maria Sarungi au Fatma Karume waingie Uwanjani wanasema wao sii Wanasiasa ila Wanaharakati.. Harakati gani hujipambanua na Vyama vya Siasa?..
- Miafrika Ndivyo Tulivyo
 
siku zote ukisha kuwa na pande ni ngumu kuwa na mawazo chanya! yani nyuzi zako zinajichanganya kama kuku anayetaka kutotoa.kuna mdau hapo post #10 kakujibu kwa upana sana,mwanaume yoyote hapa duniani lazima usimamie unachokiamini sio una rukaruka kama mbayuwayu.
 
Tatizo la siasa za Kiafrika sii Upinzani wa Sera hata kidogo maana Zitto mwenyewe hukosoa UTEKELEZAJI kutokana na Mavuno. Yaani tukisha fikia mafanikio fulani yeye husema hayatoshi, yeye angefanikisha zaidi. Sasa sielewi utafanikishaje ukiwa nje?
Na sii peke yake, Wanaharakati wote husemea nje ya uwanja, Ukimwambia Maria Sarungi au Fatma Karume waingie Uwanjani wanasema wao sii Wanasiasa ila Wanaharakati.. Harakati gani hujipambanua na Vyama vya Siasa?..
- Miafrika Ndivyo Tulivyo
Contrary na unachosema, Mwanaharakati yeyote makini ni lazima ajipambanue na chama au vyama vya siasa ambavyo anadhani ni rafiki kwa agenda yake. Mwanaharakati wa mazingira Marekani anajipambanua na chama cha Democrats kwa vile sera zake zinaendana na agenda yake. Aidha mwanaharakati anaepinga utoaji wa mimba atajipambanua na chama cha Republicans kwa sababu sera zake zinaendana na agenda yake. Kwa hiyo bila shaka hao uliowataja wanakuwa karibu na vyama hivyo kwa sababu wana imani vyama hivyo ni rafiki kwa agenda zao au ni mfano wa kile wanachokipagania.

Amandla...
 
Zitto ni mtu wa ccm yupo pale kimkakati tu lazima awepo bungeni kule kututia ulofa watz sasa akigombea urais ni wazi kabisa hatopata na atakuwa nje ya bunge .
 
Mzee hi unaijua au ?

If you say 'He who pays the piper' or 'He who pays the piper calls the tune', you mean that the person who provides the money for something decides what will be done, or has a right to decide what will be done.

Rejea kampeni ya ACT miaka 1000 kabla ya 3015 anno domini. Mpiga zumari alishapokea VYAKE. Ndo maana mkwewe kwa ufala wake hubwata kihovyo kabisa as instructed, kupotezea. Yaani yulee aharishe, na hata akufuru, kamwe haguswi. Kuna asiekua mjinga haoni upuuzi ule?

Ya mlipaji wa mpiga zumari yanabaki kua ya kipuuzi kama yale ya MWEMBE YANGA. 1st BN ya wasanii akiwamo Balozi Padre flani na Mzee wa Kiraracha wakakoga mioyo ya WAJINGA wengi kupitiliza wakaamini ati WASANII wale ni bonafide, the vanguard ya WAKOMBOZI!

Really?
 
Naamini wapo waliozaliwa kuwa wakosoaji wa Sera 'mfu' na naamini pia wapo waliozaliwa kuwa viongozi wakuu au watawala.

Zitto atabaki kuwa mkosoaji mkubwa wa Sera za JPM.
Dah....same as TL [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Zitto ni miongoni mwa watu waliokuwa wakipiga kelele umri wa kugombea urais upunguzwe lakini ni mtu aliyeaminisha watu ugomvi wake na chadema ni kwa sababu ya yeye kutaka kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chadema lakini sasa hivi umri unamruhusu asipogombea tutaamini ni kweli alikuwa akitumiwa kudhoofisha upinzani
 
Zitto ni miongoni mwa watu waliokuwa wakipiga kelele umri wa kugombea urais upunguzwe lakini ni mtu aliyeaminisha watu ugomvi wake na chadema ni kwa sababu ya yeye kutaka kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chadema lakini sasa hivi umri unamruhusu asipogombea tutaamini ni kweli alikuwa akitumiwa kudhoofisha upinzani
Mkuu mtu kupigania kitu sio lazima kimnufaishe yeye, wengine hipigania kwa niaba ya wengine, inawezekana mwaka huu kajipima kaona hatoshi.
 
Aseme tu alikuwa akitumiwa kudhoofisha upinzani
Asiposema mkuu itakuwaje?. Zitto anandoto zake mkuu, hawezi acha zipigania ili kuimarisha chama ,ushauri wangu kwenu washabiki/wanachama wa chadema shirikianeni nae ili mlete ushindani . Tofauti nahapo mtapigwa na Magufuli mapema sana, ukizingati tume yake,police wake, na udhaifu mtakao kuwa nao kama hamjashirikiana lazima mshindwe kabla ya saa moja asubuhi.
 
Mwanakijiji anajua Membe ni mseminari wa Kikatoliki anaenda kupambana na Mkatoliki wa kawaida Magufuli aliyefukuzwa seminary. Anajua huu mchezo ni mgumu sana mwaka huu kuliko ile ya 2015.
Ajanda itakuwa ngumu sana hii.

Tutataka tujuzwe sababu za jamaa kushindwa kumaliza aka ine..za seminari.

Wizi,

Utoro

Uzinzi

Kufeli

Ugomvi

Ada duni?

Nini hasa hadi jamaa akaishia form 2 bila shaka?
 
Asiposema mkuu itakuwaje?. Zitto anandoto zake mkuu, hawezi acha zipigania ili kuimarisha chama ,ushauri wangu kwenu washabiki/wanachama wa chadema shirikianeni nae ili mlete ushindani . Tofauti nahapo mtapigwa na Magufuli mapema sana, ukizingati tume yake,police wake, na udhaifu mtakao kuwa nao kama hamjashirikiana lazima mshindwe kabla ya saa moja asubuhi.
Umejuaje kama mimi ni chadema mimi siko kwenye vyama vyenu ambavyo mmezoea kuabudu watu ccm, chadema, act hawana tofauti viongozi wao ni miungu watu utabaki kuabudu watu badala ya kujikita kwenye mada
 
Back
Top Bottom