Wazo juu ya kuwa mjasiriamali

Wazo juu ya kuwa mjasiriamali

Creezle

Member
Joined
Dec 11, 2018
Posts
20
Reaction score
22
Wana ndugu napenda niwashirikishe wazo langu linalo tatiza ufahamu wangu....ni biashara ndgo ya namna gani naweza fanya kwa mtaji wa makadirio ya laki5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatafutwa na Makonda...tehteehh [emoji12] [emoji12]
 
kwa kiwango kikubwa maisha yako unayafanyia utani , na mwisho huwezi pata chochote bora anza kubadili tabia zako , hata uandishi wako tu unaonyesha hauwezi kuwa na wazo kwa msaada zaidi wasiliana name kwa whatsapp 0759880010~ Michael The Great one.
 
Back
Top Bottom