Wazo kwa manispaa ya Kigamboni; Anzisheni dampo katika mashimo yaliyofungwa yaliokiwa yanachimbwa kokoto Mji Mwema

Wazo kwa manispaa ya Kigamboni; Anzisheni dampo katika mashimo yaliyofungwa yaliokiwa yanachimbwa kokoto Mji Mwema

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Nina wazo ila sijajua kuhusu watu wa mazingira kwao wataonaje hili jambo ila tu nawaza kile ambapo manispaa ya kigamboni mji mwema wanapogombana na wananchi kila mwaka na kupelekea kujua watu kwanini manispaa wasianzishe dampo ambapo watapata pesa na pia lile eneo litafukiwa na kupata eneo kama ilivyo Tabata dampo kama vile ilivyo kwa Aziz Ally pale ebu Serikali waangalie hili jambo pale mashimo ni makubwa sana itachukua muda mrefu kuyajaza ebu waliangalie hili wazo kwako mkuu wilaya na miurungenzi kigamboni
 
Wanataka wanunue Eneo ili Wapige Pesa hayo Mashimo hayana Tija kwao
 
Wanataka wanunue Eneo ili Wapige Pesa hayo Mashimo hayana Tija kwao

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ila aya mashimo mpk wakija kujaza itasadia kupata eneo la makazi katika ayo maeneo na kupunguza Poli lililopo sasa maana mji mwema sasa itakuwa kuungana na kisota
 
Nina wazo ila sijajua kuhusu watu wa mazingira kwao wataonaje hili jambo ila tu nawaza kile ambapo manispaa ya kigamboni mji mwema wanapogombana na wananchi kila mwaka na kupelekea kujua watu kwanini manispaa wasianzishe dampo ambapo watapata pesa na pia lile eneo litafukiwa na kupata eneo kama ilivyo tabata dampo kama vile ilivyo kwa Aziz Ally pale ebu serikali waangalie hili jambo pale mashimo ni makubwa sana itachukua muda mrefu kuyajaza ebu waliangalie hili wazo kwako mkuu wilaya na miurungenzi kigamboni
Uchafuzi wa mazingira huo.
 
Ila ili wazo akija kutoa mzungu naamini lingekuwa lishafanyiwa kazi na muda huu magreda yashaenda pale kazi inaanza kujaza Yale maeneo pia lipo lingine vijibweni nalo la zamani sana lilikuwa machimbo ya mchanga nalo litumike kama dampo hili wazo mimi tu kwakuwa mtu mweusi
 
Back
Top Bottom