Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Waweke bakuli pale wazalendo wanaotaka kulipia walipie, walipa kodi wanaosema washalipia kwa kupitia kodi zao wapite bure.Hili ni wazo tu kwa serikali yangu kuhusu daraja la busisi kwanza nipongeze serikali pili naomba hili daraja liwe la kulipia ila isiwe hela nyingi kiwekwe kiwango kiasi kama kuchangia maendeleo ya serikali yetu Ila iwe kwa magari tu baskeli pikipiki na waenda kwa miguu iwe bureeeeee
Mfano gari ndogo now nalipa 5000 kwanini nisilipie kwa 1000ikaenda kwenye shughuli za maendeleo
Kila mtu apate anachotaka.