Wazo la biashara la milion moja na laki nane

Wazo la biashara la milion moja na laki nane

kwanza kijana hongera sana maana umefaulu kutunza hela yote kwa ajili ya boom tu,,,
Nikirudi kwenye mada husika ni ngumu kumshauri mtu biashara tya kufanya kama hujui haya mambo yake:
1.uwezo (potential)
2.utashi/elimu
3.Fursa zinazomzunguka
4.Historia yake kibiashara
5.Mtaji
#Mkuu wew n Genius in nature
 
Hiyo nenda ruvuma , mbeya , sumbawanga kalime mahindi au mchele njoo toa ushuhuda hapa mwakani mwezi kama huu
 
JF is no longer the home of Great thinkers comment za watu wa Facebook ndo wamejion umu ndani.


Ok kijana hongera Sana ila ushauri wangu jaribu Biashara ya mayai ya kisasa kwa kuwa unawasambazia wauza chips na madukani usitafute faida kubwa jenga jina na jina lilikuwa hutaweza laza 50-60 as net profit
Abstain sex
Abstain Alcohol
Pray to God and tithing
See you at the top
 
Subiri Euro ipite wiki hii, wiki ile ligi zinaendelea. Mpe;
Inter M (odds 1.52)
Newcastle Utd (odds 1.68)
Arsenal (odd 1.31)
Spur (odd 1.48)
Man Utd (odd 2.54)

(1.52×1.68×1.31×1.48×2.54) 12.6 Odds
Katika hizo odds 12.6 stake 500K kwanza
500,000×12.6= itakuja kama 6,300,000 Tax hapo ni 18% kwahiyo kwenye akaunti yako itaingia Tshs5,166,000/=

Kwenye hiyo Tshs5,166,000/= nunua Bajaj used unaweza kupata kwa 4.5M, au basi achana na Bajaj, ingia zako wilayani (mji ambao unakuwa) fungua duka la spare za pikipiki na Bajaj Anza na vitu vya muhimu kwanza fungua na ka'workshop hapo. Jifunze na wewe kidogo ufundi wa pikipiki Anza na zile nyepesi endelea kuongeza spares za kutosha ikiwezekana Anza na kuagiza spare za tractor panua workshop yako fanya kazi kisomi uje ulete ushuhuda mwaka 2025 kabla Bi mkubwa hajaapishwa.
Mkuu kwa 1.8 unaweza kuanza na biashara ya spare za pikipiki.
 
Subiri Euro ipite wiki hii, wiki ile ligi zinaendelea. Mpe;
Inter M (odds 1.52)
Newcastle Utd (odds 1.68)
Arsenal (odd 1.31)
Spur (odd 1.48)
Man Utd (odd 2.54)

(1.52×1.68×1.31×1.48×2.54) 12.6 Odds
Katika hizo odds 12.6 stake 500K kwanza
500,000×12.6= itakuja kama 6,300,000 Tax hapo ni 18% kwahiyo kwenye akaunti yako itaingia Tshs5,166,000/=

Kwenye hiyo Tshs5,166,000/= nunua Bajaj used unaweza kupata kwa 4.5M, au basi achana na Bajaj, ingia zako wilayani (mji ambao unakuwa) fungua duka la spare za pikipiki na Bajaj Anza na vitu vya muhimu kwanza fungua na ka'workshop hapo. Jifunze na wewe kidogo ufundi wa pikipiki Anza na zile nyepesi endelea kuongeza spares za kutosha ikiwezekana Anza na kuagiza spare za tractor panua workshop yako fanya kazi kisomi uje ulete ushuhuda mwaka 2025 kabla Bi mkubwa hajaapishwa.
Kaka man United hiii na Newcastle unatk nilie kak
 
Kubadilisha ela border ya zambia na Tz inaeza kukufaa
 
Fanya kwanza utafiti kuhusu aina mbalimbali za biashara na hakikisha ni ile ambayo unaipenda. Angalia utapata wapi cheap supply na pia demand yake katika eneo lako ikoje, angalia costs za hizo biashara. Utafiti huu fanya mwezi mmoja tu kabla ya kuanza.

Mwisho Kaa mbali na wanawake, hakikisha ukae mbali nao, na hata ikitokea biashara ikatick, Kaa mbali nao , fungua biashara nyingine zaidi na zaidi, mtumainie Mungu na uwe na NIDHAMU kuliko walioajiriwa, utatoboa.
 
Kitu nilichojifunza kwenye ujasilia mali na biashara kwa ujumla ni unatakiwa kufanya attempts kadhaa ndipo ufanikiwe.

Sasa inapotokea una mtaji wa ngama aiseee ni changamoto maana huo mtaji hauwezi kusurvive kwasababu hauna backup ya hicho unachokifanya.

Swali la msingi je wewe mwenyewe unajimudu kimahitaji? Kwa maana kwasasa bila ya hicho unachotaka kufanya unauhakika wa kupata milo angalau miwili na mahitaji mengine ya msingi pasipo kupitia huo mtaji?

Biashara au uwekezaji wowote unahitaji muda wa kulelewa kabla haijasimama yenyewe sasa je katika kipindi hicho cha transition una uwezo wa kujimudu pasipo kutegemea uwekazaji wako?

Mara nyingi wamama wauza maandazi, chakula na aina hizo za biashara wengi hawatoboi kwasababu sehemu ya faida inaingia kwenye matumizi ya msingi ya kila siku ya familia.

Ushauri wangu tafuta biashara ya mtaji mdogo kati ya laki moja hadi mbili kisha focus hata kama ukianguka rudia tena na tena kwa kutumia fedha uliyobakiwa nayo. Baada ya attempts kadha ambazo utakua umekosea utakua unajifunza pale ulipokosea
 
Subiri Euro ipite wiki hii, wiki ile ligi zinaendelea. Mpe;
Inter M (odds 1.52)
Newcastle Utd (odds 1.68)
Arsenal (odd 1.31)
Spur (odd 1.48)
Man Utd (odd 2.54)

(1.52×1.68×1.31×1.48×2.54) 12.6 Odds
Katika hizo odds 12.6 stake 500K kwanza
500,000×12.6= itakuja kama 6,300,000 Tax hapo ni 18% kwahiyo kwenye akaunti yako itaingia Tshs5,166,000/=

Kwenye hiyo Tshs5,166,000/= nunua Bajaj used unaweza kupata kwa 4.5M, au basi achana na Bajaj, ingia zako wilayani (mji ambao unakuwa) fungua duka la spare za pikipiki na Bajaj Anza na vitu vya muhimu kwanza fungua na ka'workshop hapo. Jifunze na wewe kidogo ufundi wa pikipiki Anza na zile nyepesi endelea kuongeza spares za kutosha ikiwezekana Anza na kuagiza spare za tractor panua workshop yako fanya kazi kisomi uje ulete ushuhuda mwaka 2025 kabla Bi mkubwa hajaapishwa.
We jamaa! Man u ipi ya kumfunga Brighton?
 
Back
Top Bottom