kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Siyo kila MTU kazaliwa kwa ajili ya ujasiliamali. Wewe pangilia vizuri CV kwa ajili kuwa mwajiliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuuwe unaandika...
Shida inakuja ajira zenyewe mshahara hautoshi kukidhi mahitaji yako. Na mara utishwe kutumbuliwa bora kujipanga mapemaSiyo kila MTU kazaliwa kwa ajili ya ujasiliamali. Wewe pangilia vizuri CV kwa ajili kuwa mwajiliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli;wazo linaanzia kichwani,baada ya hapo linawekwa kwenye maandishi (mikakati),na baadaye ni kuingia field (kuwekeza pesa kwenye wazo kutegemeana na mkakati).Bila hivyo,hiyo pesa ataitawanya vibaya.
Ahsante kwa ushauri wako uliotukukaBiashara ni kipaji,ndio maana matajiri ni wachache;kwa kutunza kumbukumbu jaribu kuwa unaandika mchanganuo wa wazo unalolifikiria.
Haina shida mkuu nimekuelewa sanaanza na saving kwanza achana na biashara ukiwa na uwezo wakusave someday utaizuia biashara yako isianguke lakini kama huna tabia ya saving hata ukianzisha biashara itakufa and by saving lazima upunguze matumizi yasiyokuwa na ulazima ...pia usisahau kuweka record ya matumizi yako mali bila daftari hupotea bila habari....nisamehe kwenye uandishi wangu sijatulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajitahidi nifanye hivyo piaPiga magoti mwombe Mungu wenge likutoke kwanza....
Nahisi kuna mengi kwako ambayo yatanifaa,naomba ukipata muda uweze kunifungua zaidi mkuu.Mkuu unahitaji mentor wakukuongoza kupata focus.
Nikwambie tu.
Hadi sasa wala huamini katika wazo lako la biashara ndiyo maana haupo na msukumo wakuanza NOW.
Ukiona wewe ni mtu wa excuses kila mara hiyo maana yake hauna burning desire kwenye ujasiriamali.
Ili uwe successful kwenye business unahitaji uwe na focus ya hali ya juu sana.
Na haiishii hapo.
Unahitaji uuze.
Usipojua kuuza you are wasting time.
Biashara ni wateja.