kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Naombeni msaada nifanyeje niweze kudhibiti wazo la biashara?
ninakuwa na malengo ya biashara kabla sijawa na mtaji. Lakini kila nikipata hela najikuta nachanganikiwa nisijuwe nifanye biashara gani. Kila biashara nahisi nitaangamiza pesa.
ninakuwa na malengo ya biashara kabla sijawa na mtaji. Lakini kila nikipata hela najikuta nachanganikiwa nisijuwe nifanye biashara gani. Kila biashara nahisi nitaangamiza pesa.